Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
Tatizo Napo rapper ni matusi ku hire ghost writer..maana ili uwe rapper lazima uwe unajua kuandika,,Nili mshangaaa alivyo mdiss killer, sema aki andikiwa mistari ata wika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo Napo rapper ni matusi ku hire ghost writer..maana ili uwe rapper lazima uwe unajua kuandika,,Nili mshangaaa alivyo mdiss killer, sema aki andikiwa mistari ata wika
Ndo Mana namkubali master hapaTatizo Napo rapper ni matusi ku hire ghost writer..maana ili uwe rapper lazima uwe unajua kuandika,,
One of the best rapper to ever bless the mic.. Detroit baby..naipenda Sana ngoma yake Beautiful,Jana tu nimetoka kuangalia movie yake 8 mileNdo Mana namkubali master hapa
View attachment 2920609
Mle kwenye hiyo movie ali jidis, Kisha aka mpoteza mwana.One of the best rapper to ever bless the mic.. Detroit baby..naipenda Sana ngoma yake Beautiful,Jana tu nimetoka kuangalia movie yake 8 mile
Bati Au bachi😅Kuna GOAT na GOTI, pengine huyo ni GOTI
Ushawai kumsikia Royce da 5'6 wa Bad meets evil.yes em ni goat pia mwana harakati,angalia cypher yake Slaughter house,ndio imemtoa Kendrick lamarMle kwenye hiyo movie ali jidis, Kisha aka mpoteza mwana.
Yule mwana siku hizi ni actor.
Em ndo goat wangu wa hip hop
Royce huwa simipi sikio Sana, mi niki muelewa msanii 1 nadunda nae.Ushawai kumsikia Royce da 5'6 wa Bad meets evil.yes em ni goat pia mwana harakati,angalia cypher yake Slaughter house,ndio imemtoa Kendrick lamar
Aisee umemtaja Royce umenikumbusha katika Bad meets evil, kuna ngoma yao na Eminem inaitwa Scary Movies ni balaaUshawai kumsikia Royce da 5'6 wa Bad meets evil.yes em ni goat pia mwana harakati,angalia cypher yake Slaughter house,ndio imemtoa Kendrick lamar
Young Lunya ni underground aliyechangamka. Hawezi hata kidogo kumfikia mtu kama Young Dee ambaye bado hana hadhi ya GoAT.
Habari za jioni wakuu,
Let me get straight to the point... Young Lunya ni msanii ambae ni mkali wa mashairi na flows pia. Huwa namfananisha na bwana mdogo mmoja enzi hizo kule states wa kuitwa Soulja Boy Tell 'em. Pamoja na ukali wake na kumkubali, siafiki kabisa kitendo cha yeye kujiita GoaT (Greatest Of All Time).
Twende taratibu, tukienda kwenye mchezo wa ngumi ukimtaja Mike Tyson au Mohamed Ali kwamba ni ma goat watu hawatopinga. Ukienda kwenye mziki wa pop ukiwataja watu kama wacko jacko au Elvis Presley kwamba NI ma goat watu watakubali. Same applies kama Tiger Woods kwenye golf, Bob Marley kwenye reggae, Oliver mtukudzi, Yossou ndor, Mano Debango kwenye traditional African music, Maradona, Pele, Messi kwenye football etc.
Kwa hapa bongo, kwa mziki wa bongo flavour, it's without a doubt, ukimtaja Prince Dully Sykes huyu ni goat haswa. Ili mtu tumuite goat, tunaangalia nini? Tunaangalia consistency ya not less than two decades kwenye game. Dully tangu Enzi za Hi, lady's free, julieta, bongo flava mpaka sasa kiukweli ameweza ku-maintain consistency ya hali ya juu.
Kwa wanamuziki wa kike, ukimtaja Lady Jaydee 'komando' bila kupingwa ni goat.
Kwenye bongo hip-hop ukimtaja Prof Jizze anafaa kua na hadhi ya u-GOAT. Sasa huyu Lunya ambaye two decades ago probably alikua bado anasoma primary anapata wapi ujasiri wa kujiita GoaT? Ame-menteini kwenye game kwa muda gani?
Halafu na hili la kufanya freestyle session mpaka volume ngapi huko, freestyle gani mpaka unaenda location kabisa kushoot video aisee?
Unaikariri vipi freestyle hadi uweze kwenda kuitolea video? Goat I'll be damned, the kid has alot to learn from the true GOATs of the game!
Tatizo anatuhusisha na sisi Mkuu.
Habari za jioni wakuu,
Let me get straight to the point... Young Lunya ni msanii ambae ni mkali wa mashairi na flows pia. Huwa namfananisha na bwana mdogo mmoja enzi hizo kule states wa kuitwa Soulja Boy Tell 'em. Pamoja na ukali wake na kumkubali, siafiki kabisa kitendo cha yeye kujiita GoaT (Greatest Of All Time).
Twende taratibu, tukienda kwenye mchezo wa ngumi ukimtaja Mike Tyson au Mohamed Ali kwamba ni ma goat watu hawatopinga. Ukienda kwenye mziki wa pop ukiwataja watu kama wacko jacko au Elvis Presley kwamba NI ma goat watu watakubali. Same applies kama Tiger Woods kwenye golf, Bob Marley kwenye reggae, Oliver mtukudzi, Yossou ndor, Mano Debango kwenye traditional African music, Maradona, Pele, Messi kwenye football etc.
Kwa hapa bongo, kwa mziki wa bongo flavour, it's without a doubt, ukimtaja Prince Dully Sykes huyu ni goat haswa. Ili mtu tumuite goat, tunaangalia nini? Tunaangalia consistency ya not less than two decades kwenye game. Dully tangu Enzi za Hi, lady's free, julieta, bongo flava mpaka sasa kiukweli ameweza ku-maintain consistency ya hali ya juu.
Kwa wanamuziki wa kike, ukimtaja Lady Jaydee 'komando' bila kupingwa ni goat.
Kwenye bongo hip-hop ukimtaja Prof Jizze anafaa kua na hadhi ya u-GOAT. Sasa huyu Lunya ambaye two decades ago probably alikua bado anasoma primary anapata wapi ujasiri wa kujiita GoaT? Ame-menteini kwenye game kwa muda gani?
Halafu na hili la kufanya freestyle session mpaka volume ngapi huko, freestyle gani mpaka unaenda location kabisa kushoot video aisee?
Unaikariri vipi freestyle hadi uweze kwenda kuitolea video? Goat I'll be damned, the kid has alot to learn from the true GOATs of the game!
Kwenye freestyle 1998 Big L Ali rap mstari ambao Hadi leo Wana u rate Kama punchline Kali ya muda wote,alisema "ask Beavis, I get nothin' Butthead"Bora hata Conboi lakini Lunya kiukweli hajui.
Hao wajamaa wanajua Ila kizazi Cha kina Lil pump hawataelewaAisee umemtaja Royce umenikumbusha katika Bad meets evil, kuna ngoma yao na Eminem inaitwa Scary Movies ni balaa
J Cole fundi,nae Kama Mimi anatokea Forest Hill,album yake ya 2014 Forest Hills Drive,nilinunua physical copy OGRoyce huwa simipi sikio Sana, mi niki muelewa msanii 1 nadunda nae.
J Cole pia ana unyama fulani hivi.
Hizi ndio tunaita nursery ryhmes😂Kuna mstari anasema
We ni ndege ya abiria
Mi ni mazafackin private jet😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwangu Eminem ndo mwamba, sijui wale kina jay ni kawaida tu.J Cole fundi,nae Kama Mimi anatokea Forest Hill,album yake ya 2014 Forest Hills Drive,nilinunua physical copy OG
Kwangu Eminem ndo mwamba, sijui wale kina jay ni kawaida tu.
Em songs
O1, monster, no love, till I collapse, love the way you lie.
kill shot, ja rule diss, mocking bird,
Kuna ngoma nili icut em ana diss kijinga aisee.Emenimen kwenye ku diss ndio habari anependa,Kuna b*tch wa kuitwa Mariah Carey alitoa ngoma ya kumdiss Eminem, Obsessed,alichofanywa hatorudia,bila kusahau Benzino wa The source , Eminem killed his career,hah MGK??Nick Cannon,Mama Yake Mzazi
Huwezi muelewa, we si ulikuwa bize na mwaj ma uti🤓Ndio nani huko daslam kwani huyo mnae mtaja??
Alafu naona mnabishana sana kuhusu hiyo mbuzi, au ndio ile kagoma kwenda labda.