Young Lunya ana u-GOAT gani?

Young Lunya ana u-GOAT gani?

Tatizo Napo rapper ni matusi ku hire ghost writer..maana ili uwe rapper lazima uwe unajua kuandika,,
Ndo Mana namkubali master hapa
Screenshot_20240228-221245_1.jpg
 
Ushawai kumsikia Royce da 5'6 wa Bad meets evil.yes em ni goat pia mwana harakati,angalia cypher yake Slaughter house,ndio imemtoa Kendrick lamar
Aisee umemtaja Royce umenikumbusha katika Bad meets evil, kuna ngoma yao na Eminem inaitwa Scary Movies ni balaa
 

Habari za jioni wakuu,

Let me get straight to the point... Young Lunya ni msanii ambae ni mkali wa mashairi na flows pia. Huwa namfananisha na bwana mdogo mmoja enzi hizo kule states wa kuitwa Soulja Boy Tell 'em. Pamoja na ukali wake na kumkubali, siafiki kabisa kitendo cha yeye kujiita GoaT (Greatest Of All Time).

Twende taratibu, tukienda kwenye mchezo wa ngumi ukimtaja Mike Tyson au Mohamed Ali kwamba ni ma goat watu hawatopinga. Ukienda kwenye mziki wa pop ukiwataja watu kama wacko jacko au Elvis Presley kwamba NI ma goat watu watakubali. Same applies kama Tiger Woods kwenye golf, Bob Marley kwenye reggae, Oliver mtukudzi, Yossou ndor, Mano Debango kwenye traditional African music, Maradona, Pele, Messi kwenye football etc.

Kwa hapa bongo, kwa mziki wa bongo flavour, it's without a doubt, ukimtaja Prince Dully Sykes huyu ni goat haswa. Ili mtu tumuite goat, tunaangalia nini? Tunaangalia consistency ya not less than two decades kwenye game. Dully tangu Enzi za Hi, lady's free, julieta, bongo flava mpaka sasa kiukweli ameweza ku-maintain consistency ya hali ya juu.

Kwa wanamuziki wa kike, ukimtaja Lady Jaydee 'komando' bila kupingwa ni goat.

Kwenye bongo hip-hop ukimtaja Prof Jizze anafaa kua na hadhi ya u-GOAT. Sasa huyu Lunya ambaye two decades ago probably alikua bado anasoma primary anapata wapi ujasiri wa kujiita GoaT? Ame-menteini kwenye game kwa muda gani?

Halafu na hili la kufanya freestyle session mpaka volume ngapi huko, freestyle gani mpaka unaenda location kabisa kushoot video aisee?

Unaikariri vipi freestyle hadi uweze kwenda kuitolea video? Goat I'll be damned, the kid has alot to learn from the true GOATs of the game!
Young Lunya ni underground aliyechangamka. Hawezi hata kidogo kumfikia mtu kama Young Dee ambaye bado hana hadhi ya GoAT.

Kama ni freestyle Lunya hafanyi freestyle labda akapela. U GoAT kwenye freestyle kwa sasa apewe Nikki Mbishi maanani balaa lingine huyu jamaa, ni vile ana migogoro mingi tu.
 

Habari za jioni wakuu,

Let me get straight to the point... Young Lunya ni msanii ambae ni mkali wa mashairi na flows pia. Huwa namfananisha na bwana mdogo mmoja enzi hizo kule states wa kuitwa Soulja Boy Tell 'em. Pamoja na ukali wake na kumkubali, siafiki kabisa kitendo cha yeye kujiita GoaT (Greatest Of All Time).

Twende taratibu, tukienda kwenye mchezo wa ngumi ukimtaja Mike Tyson au Mohamed Ali kwamba ni ma goat watu hawatopinga. Ukienda kwenye mziki wa pop ukiwataja watu kama wacko jacko au Elvis Presley kwamba NI ma goat watu watakubali. Same applies kama Tiger Woods kwenye golf, Bob Marley kwenye reggae, Oliver mtukudzi, Yossou ndor, Mano Debango kwenye traditional African music, Maradona, Pele, Messi kwenye football etc.

Kwa hapa bongo, kwa mziki wa bongo flavour, it's without a doubt, ukimtaja Prince Dully Sykes huyu ni goat haswa. Ili mtu tumuite goat, tunaangalia nini? Tunaangalia consistency ya not less than two decades kwenye game. Dully tangu Enzi za Hi, lady's free, julieta, bongo flava mpaka sasa kiukweli ameweza ku-maintain consistency ya hali ya juu.

Kwa wanamuziki wa kike, ukimtaja Lady Jaydee 'komando' bila kupingwa ni goat.

Kwenye bongo hip-hop ukimtaja Prof Jizze anafaa kua na hadhi ya u-GOAT. Sasa huyu Lunya ambaye two decades ago probably alikua bado anasoma primary anapata wapi ujasiri wa kujiita GoaT? Ame-menteini kwenye game kwa muda gani?

Halafu na hili la kufanya freestyle session mpaka volume ngapi huko, freestyle gani mpaka unaenda location kabisa kushoot video aisee?

Unaikariri vipi freestyle hadi uweze kwenda kuitolea video? Goat I'll be damned, the kid has alot to learn from the true GOATs of the game!

Bora hata Conboi lakini Lunya kiukweli hajui.
 
J Cole fundi,nae Kama Mimi anatokea Forest Hill,album yake ya 2014 Forest Hills Drive,nilinunua physical copy OG
Kwangu Eminem ndo mwamba, sijui wale kina jay ni kawaida tu.
Em songs

O1, monster, no love, till I collapse, love the way you lie.
kill shot, ja rule diss, mocking bird,
 
Emenimen kwenye ku diss ndio habari anependa,Kuna b*tch wa kuitwa Mariah Carey alitoa ngoma ya kumdiss Eminem, Obsessed,alichofanywa hatorudia,bila kusahau Benzino wa The source , Eminem killed his career,hah MGK??Nick Cannon,Mama Yake Mzazi
Kwangu Eminem ndo mwamba, sijui wale kina jay ni kawaida tu.
Em songs

O1, monster, no love, till I collapse, love the way you lie.
kill shot, ja rule diss, mocking bird,
 
Emenimen kwenye ku diss ndio habari anependa,Kuna b*tch wa kuitwa Mariah Carey alitoa ngoma ya kumdiss Eminem, Obsessed,alichofanywa hatorudia,bila kusahau Benzino wa The source , Eminem killed his career,hah MGK??Nick Cannon,Mama Yake Mzazi
Kuna ngoma nili icut em ana diss kijinga aisee.
Hiyo ya cariah nili isikiliza, aisee jomba ana sema ali hit faster aka sleep😂.

Benzino kachanwa Tena kwenye dooms day 2 ya Mwaka huu
 
Back
Top Bottom