donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
- Thread starter
-
- #61
Unajua problem ya kizazi cha sasa ni kwamba sh*t is too modernized. Naona hata marapa wenyewe wanasifiwa ukali ila sioni ukali wao sijui JuiCeWrD kina Young boy NBA, blue face etc. Creativity naona kama hamna, hebu take back yourself back in days halafu niambie ndio uko umetulia unasikiliza ngoma kama G - Code ya geto boys, au ngoma kama Triumph ya Wu Tang ClanKwa kizazi Cha Sasa au
Hah wanasema game lime change but trust me wakali wapo tena Hawa Hawa wa kizazi kipya but hawaendi mainstream,real hip hop imeonekana Kama sio radio Friend,..Unajua problem ya kizazi cha sasa ni kwamba sh*t is too modernized. Naona hata marapa wenyewe wanasifiwa ukali ila sioni ukali wao sijui JuiCeWrD kina Young boy NBA, blue face etc. Creativity naona kama hamna, hebu take back yourself back in days halafu niambie ndio uko umetulia unasikiliza ngoma kama G - Code ya geto boys, au ngoma kama Triumph ya Wu Tang Clan
Kad twendeLunya anajiita Goat kama fashion tu, kafanya Goat liwe sehemu ya nickname yake.
Sio tu kwamba hana vigezo vya kuwa Goat katika hip hop kiujumla bali hata kuwa Goat kama muwakilishi bora wa hip hop Kiwalani pia amekosa hiyo sifa.
Ana flows nzuri ila utunzi ni zero, anapayuka sana na kuunga unga vina.
Wasiojua mziki wa Hip Hop wanaweza kumuona jamaa ni bonge la mchanaji lakini kiuhalisia hata kwa Cadgo hafiki.
Lunya angempata mtu wa kumtungia mashairi mazuri nilikuwa namuona mbali kuliko hapa alipo.
Kwasababu ana ufundi wakutulia kwenye beat plus na ile kitu ambacho modern rapper wanapenda kukifanya (swagga)
Con boy katika hii generation ya trappers yupo vizuri sana tena sanaUko sahihi sana, Con boy (Canabino) amemuacha mbali lunya thou kuna watu wanasema kwa pale OMG eti lunya ndo alikua mkali ,.una maoni gani hapa
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo dogo hata mimi haniwezi.
Yeah anajitahidi. Ananikumbuaha Gosby enzi za ubora wakeCon boy katika hii generation ya trappers yupo vizuri sana tena sana
Hivi gosby ndo alieimbaga "bishoo" ?Yeah anajitahidi. Ananikumbuaha Gosby enzi za ubora wake
Bishoo sio ya Quick Rocka na Young Dee?Hivi gosby ndo alieimbaga "bishoo" ?
Kirefu chake?Kuna GOAT na GOTI, pengine huyo ni GOTI
Achana na hiyo ..Bishoo sio ya Quick Rocka na Young Dee?