Umeanza lini tabia ya kuandika vizuri hivi?πββοΈVanessa Mdee hajapotea bado yuko sanaa, ila kaamua kupumzika na kuishi maisha mengine nje ya Muziki, ila bado umaarufu anao, kazi ingine ya sanaa, na maisha ya ndoa na malezi kwa mtoto.
Ommy Dimpoz yupo sana kwa game, ila now time anatoa hits kwa kwa mpangilio, umaarufu anao, maisha anayoishi hata hao wasanii wengine wanayaona kwa TV km sio kuyasikiliza Redioni,
Labda huyu Baraka DA Prince ndo unaweza sema kapotea.
Nwei naye MBUZI achange katata yake vizuri.
Nimeanza karibuni dea.Umeanza lini tabia ya kuandika vizuri hivi?[emoji2296]
Kwani huyo ommy kinachomuweka mjini si jicho la tatuππVanessa Mdee hajapotea bado yuko sanaa, ila kaamua kupumzika na kuishi maisha mengine nje ya Muziki, ila bado umaarufu anao, kazi ingine ya sanaa, na maisha ya ndoa na malezi kwa mtoto.
Ommy Dimpoz yupo sana kwa game, ila now time anatoa hits kwa kwa mpangilio, umaarufu anao, maisha anayoishi hata hao wasanii wengine wanayaona kwa TV km sio kuyasikiliza Redioni,
Labda huyu Baraka DA Prince ndo unaweza sema kapotea.
Nwei naye MBUZI achange katata yake vizuri.
Hapana jicho 1 tyuuh ila linalea majicho ma 3.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ha-haH
Kwani huyo ommy kinachomuweka mjini si jicho la tatu[emoji23][emoji23]
Suala la msanii kuwa signed under a record label huwa na faida pamoja na hasara zake. Unaposainiwq na label huwa unaondoa stress za promotions na marketing ya muziki wako na ndio maana wanakupatia fedha nyingi baada ya kusaini ili wazirejeshe pindi watakavyokuja kuuza muziki wako.Hivi mnaonaje kuhusu huyu mwamba Young Lunya kusainiwa Sony music Africa kunaweza kuwa na faida kwake au ndo amepoteza maana kwa kumbukumbu za haraka haraka ni kwamba wasanii wengi wa Tanzania walio sainiwa na label hiyo wengi wamepotea mfano
Baraka da prince,
Vanessa Mdee,
Ommy Dimopzi,
Kidogo kwa huyu Diamond yeye alishtuka mapema akaepa na nafikiri ata Ali Kiba pia aliliona Hilo.
Ommy Dimpoz anafanyabkazi katika makampuni ya GSM kama creative director na ndio maana anaishi vizuri hivyo. Hayo mengine mmeyatoa wapi?H
Kwani huyo ommy kinachomuweka mjini si jicho la tatuππ
Kwa maisha anayoishi mshahara peke yake huwezi kidhiOmmy Dimpoz anafanyabkazi katika makampuni ya GSM kama creative director na ndio maana anaishi vizuri hivyo. Hayo mengine mmeyatoa wapi?
Omari vishimo anapats hela somewhere.Vanessa Mdee hajapotea bado yuko sanaa, ila kaamua kupumzika na kuishi maisha mengine nje ya Muziki, ila bado umaarufu anao, kazi ingine ya sanaa, na maisha ya ndoa na malezi kwa mtoto.
Ommy Dimpoz yupo sana kwa game, ila now time anatoa hits kwa kwa mpangilio, umaarufu anao, maisha anayoishi hata hao wasanii wengine wanayaona kwa TV km sio kuyasikiliza Redioni,
Labda huyu Baraka DA Prince ndo unaweza sema kapotea.
Nwei naye MBUZI achange katata yake vizuri.
Kwa elimu ipi aliyonayo!?Ommy Dimpoz anafanyabkazi katika makampuni ya GSM kama creative director na ndio maana anaishi vizuri hivyo. Hayo mengine mmeyatoa wapi?
sio ambasada tena?Ommy Dimpoz anafanyabkazi katika makampuni ya GSM kama creative director na ndio maana anaishi vizuri hivyo. Hayo mengine mmeyatoa wapi?
πππKwa elimu ipi aliyonayo!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee mtu khaaaah.Omari vishimo anapats hela somewhere.
Muziki wa nini!?
Labda kwa huyo Vannes aliamua kuwa Mama.
Baraka De prince saivi ni baraka de panya road
Utajiri wa Ommy Dimpoz una utata mwingi so usiseme kwamba muziki ndio unamfanya aishi maisha hayoVanessa Mdee hajapotea bado yuko sanaa, ila kaamua kupumzika na kuishi maisha mengine nje ya Muziki, ila bado umaarufu anao, kazi ingine ya sanaa, na maisha ya ndoa na malezi kwa mtoto.
Ommy Dimpoz yupo sana kwa game, ila now time anatoa hits kwa kwa mpangilio, umaarufu anao, maisha anayoishi hata hao wasanii wengine wanayaona kwa TV km sio kuyasikiliza Redioni,
Labda huyu Baraka DA Prince ndo unaweza sema kapotea.
Nwei naye MBUZI achange katata yake vizuri.
Never underestimate the power of parasitism, secret deals and black magicKwa elimu ipi aliyonayo!?
Pia ni ambassadorsio ambasada tena?
Kumbe n nn sasa? Hebu tufungulie Dunia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utajiri wa Ommy Dimpoz una utata mwingi so usiseme kwamba muziki ndio unamfanya aishi maisha hayo
Bongo ukifanikiwa watasema ni freemason,shoga au mwuza ngadaOmmy Dimpoz anafanyabkazi katika makampuni ya GSM kama creative director na ndio maana anaishi vizuri hivyo. Hayo mengine mmeyatoa wapi?