Young lunya ni mkali wa flow za hiphop

Mkali wako ni mkali Ila mkali kwa watoto
 
atafute demu kwanza
Dogo ana mademu sema yeye ana mambo ya kufall in love kikweli .mtu ka Rapcha na young killer wao ni makahaba kila ukiwaona na demu mpya na ndo wanajiona wahuni.huyu ana demu wake mmoja mkubwa kuliko yeye anafanya bank .huwa yuko nae kila mahali ndo maana wahuni wanamuona sio mwana hiphop
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kiufupi abadilike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…