Young lunya ni mkali wa flow za hiphop

Young lunya ni mkali wa flow za hiphop

Mi bishoo tu

Senior Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
122
Reaction score
294
Sikiliza freestyle season 3 utakuja kusalute mwenyewe.

FB_IMG_1692383494190.jpg
 
Mkali wako ni mkali Ila mkali kwa watoto
 
atafute demu kwanza
Dogo ana mademu sema yeye ana mambo ya kufall in love kikweli .mtu ka Rapcha na young killer wao ni makahaba kila ukiwaona na demu mpya na ndo wanajiona wahuni.huyu ana demu wake mmoja mkubwa kuliko yeye anafanya bank .huwa yuko nae kila mahali ndo maana wahuni wanamuona sio mwana hiphop
 
Dogo ana mademu sema yeye ana mambo ya kufall in love kikweli .mtu ka Rapcha na young killer wao ni makahaba kila ukiwaona na demu mpya na ndo wanajiona wahuni.huyu ana demu wake mmoja mkubwa kuliko yeye anafanya bank .huwa yuko nae kila mahali ndo maana wahuni wanamuona sio mwana hiphop
😂😂😂😂
Kiufupi abadilike
 
Back
Top Bottom