Young tuso afunguka tena juu ya Jacqueline Wolper


hivi tutakuwa na uhakika gani kwamba walizunguka dunia nzima na wakagundua by that time hakuna mwanamke mzuri km huyo cleopatra?au ndio zile zile stori za babu?kweli the beauty lies on the eyes of the beholder,yani wolper ninavyomuona wa kawaida vile kumbe kuna mtu anakosa usingizi kwa ajili yake?
 
wolper wala hana uzuri wowote ni wa kawaida sana! Ila dogo mjanja sana atang'oa 2 muda sio mrefu.

wenawe!!,umekazana,kusema
wolper
hana,uzuri
wowote,kwani
hujui,uzuri
wa,mtu
upo
machoni
pa,mtu?mwenzako,kwa
wolper
ndo
kafika,so
mwache
aelezee
flng
zake.
mw
 
huyu young tusso akitaka kumega watoto wakali atafute pesa nyingi ila siyo kwa style hii kwani hakauzi,hakipendezi na nguo halafu kafupi sana!kifupi kipo local sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…