Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Sisi wanawake mtutoe kwenye sababu namba 2 😂😂Sehemu kubwa ya maisha yetu tunasota kwa sababu ya tumbo na p(u)mb(u) mengine kiherehere chetu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi wanawake mtutoe kwenye sababu namba 2 😂😂Sehemu kubwa ya maisha yetu tunasota kwa sababu ya tumbo na p(u)mb(u) mengine kiherehere chetu tu
Nyie mbona ndo kitengo chenu hicho😂mkishiba lazima mfikirie kubadilisha oilSisi wanawake mtutoe kwenye sababu namba 2 😂😂
Asee, miaka hiyo nipo mitaa ya makutano mabibo huko. Asubuhi naenda kuangalia ubao wamebandika Makava ya movie gani na muda wa kuangalia movie husika.Kama uliangalia Govinda Yaya Ranjit ankula karanga kila saa aisee we wakitambo ktk gemu la movie. Ngoja nikukumbushe kidogo za kipindi kile...kuna hizi
Mithun wawili
Zalumenda Mbwa na Nyani
Mohra
Akshay na sunilshet adui Mzee deni anajifanya kipofu
Sandat msalabani
Koila
Sheria kipofu Amita
Oyi aisee hadi kusaluka umesaluka aisee kumbe tuko wengi.Asee, miaka hiyo nipo mitaa ya makutano mabibo huko. Asubuhi naenda kuangalia ubao wamebandika Makava ya movie gani na muda wa kuangalia movie husika.
Nikitoka hapo naenda kusaluka na vyuma chakavu kutafuta hela ya movie kumsikiliza mtaalamu Lufufu Mukandala