Mr.samba de man
Member
- Sep 4, 2013
- 55
- 7
Maana yake nin? Na
je ni kweli kwamba wengne wameandikiwa yr not acquired?
Nawasilisha
Maana yake "not yet fixed"
kwa hiyo subiri mpaka j3 au j4
trueeeeeeeeeeee,,,aina aja ya kupagawa vijana,,,usife kwa sababu umekosa mkopo.
mhhhhhhhh sasa imekua kero kila mtu anataka aelekezwe maana ya hayo maneno mbona rahis sana hayo "bado ipo kwenye taratibu za kupelekwa collage husila"
mhhhhhhhh sasa imekua kero kila mtu anataka aelekezwe maana ya hayo maneno mbona rahis sana hayo "bado ipo kwenye taratibu za kupelekwa collage husila"