Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kali ni rafiki ndugu na yusuphKama Kali Ongara bado yupo kwenye benchi lka ufundi hiyo ni kazi bure
AsaramalekoElimu ya dini inatumikaje pale Chamazi?
Uliwaambia kumbe?Azam wanashangaza sana.
CHUKUENI HATA DIDIE GOMES DAROSA.
MICHO.
IBENGE NK.
mtaishia kuwa wasindikizaji.
Uliwaambia kumbe?
Dabo leo kaonesha udogo wake kama kocha ,hana mbinuNilikwambia mkuu.
Azam Wana mapungufu kwenye KOCHA na Manager
JEMEDARI ALIWANYOOSHA MNO
Hebu nieleweshe kwenye hoja ya udini ya Azam.Nilikwambia mkuu.
Azam Wana mapungufu kwenye KOCHA na Manager
JEMEDARI ALIWANYOOSHA MNO
Huyu ana undugu na marehem Amin Dabo?Taarifa rasmi toka Chamazi zinathibitisha Azam kushusha kocha mpya kutoka Senegal. Yossouph Dabo ni kocha kijana mwenye mafanikio makubwa ambayo yameipaisha Senegal kwenye ulimwengu wa soka . Kocha huyo amepewa kandarasi ya miaka mitatu.
![]()
WASIFU WAKE.
Dabo amezaliwa kwenye mji wa Saggata,Senegal miaka 43 iliyopita.
Amecheza soka nchini mwake, kisha Tunisia na Ufaransa.
Yafuatayo ni baadhi ya mafanikio yake kama kocha. Mwaka 2016, akiwa na Tengueth alishinda ubingwa wa Kombe la Ligi.
Mwaka 2017 akiwa kocha wa Tengueth alifika fainali ya Kombe la Senegal (sawa na Kombe la Shirikisho la Azam hapa nchini)
Desemba, 2018 alitwaa ubingwa wa vijana chini ya miaka 20 kwa timu za taifa ukanda B wa Afrika Magharibi (Wafu B), mashindano yalipofanyika Togo.
Februari 2019 alichaguliwa kuwa kocha bora wa Afcon chini ya miaka 20 huko Niger alipoisaidia Senegal kufika fainali. Juni 2019 aliiongoza Senegal kufika robo fainali ya Kombe la Dunia chini ya miaka 20 nchini Poland.
Julai 2019 alikuwa sehemu ya benchi la ufundi la timu ya taifa ya Senegal iliyofika fainali ya Afcon kule Misri. Agosti 2019 akiwa kocha wa timu ya taifa ya Senegal chini ya miaka 23, aliiongoza kushika nafasi ya tatu na kushinda medali ya shaba kwenye michezo ya Afrika jijini Rabat, Morocco.
Desemba 2019 aliiongoza Senegal kushinda ubingwa wa kanda ya Wafu mashindano yaliyofanyika Guinea. Machi 2020 aliiongoza Senegal kushinda ubingwa vijana chini ya miaka 20 wa mashindano ya mataifa ya Kiarabu. Senegal ilishiriki kama wageni waalikwa mashindano yaliyofanyika Saudi Arabia.
Novemba 2020 akiwa kocha wa timu ya taifa ya Senegal chini ya miaka 20 walifika fainali kuwania ubingwa wa kanda A ya Afrika Magharibi. Msimu wa 2020/21 alishinda ubingwa wa ligi ya Senegal akiwa na Tengueth.