Youth football academies 10 bora duniani na mifano ya products zao


 
Fanya tena tafiti mkuu...ila hapo namba moja paache kama palivyo.
 
Ha ha ha wewe wanaoi run soccer ya Spain ni products za Lamasia
Spain national team iliyotisha(triumph) past 10 years kwa ku win World cup ,Euro etc about 75% ni lamasia Cantella muulize Vicente del Bosco
Na style hata ya play ya game yao ni Lamasia (Johan Cruyff) from Ajax....
The way alivyozipanga inastahili kabisa
Sijazungumzia kiushabiki hapa weza inani favor
 
Blaza Umemaliza
 

Acha zako wewe, Man United inaongoza kwa kuzalisha vipaji pale Epl zaidi ya Liverpool, kutoa vizazi vya zamani, vizazi vya sasa vinavyocheza mpira pale Epl kama.

Drinkwater
Danny Simpson
Rashford
Pogba
Lingard
Josh King
Jonh Evans
Michael Keane
McTomminay
Tim Heaton
Danny Welbeck
Ryan Shawcross
 
Hawa wanao zitengeneza hizi list huwa kama watu waliochanganyikiwa muda mwengine. Southampton mchezaji gani wamana aletoka hapo alafu wanatuandikia kina shaw chamber walcott.

Albertini, Costacurta, Panuci, Toldo, evani, oddo, Galli, dounaruma, walitokea Milan hawakuoredheshwa kabisa. Alfau ati mpaka Man utd na Real wamewekwa juu yao, na mpaka Walcott, chamber,Shaw, rashford, pia wameoredheshwa kama wachezaji wa maana vile.
Na iko wapi Inter Milan ? Juventus?
Inter milan - Bargomi, Pandev, Zenga, Bonccci, Ferri, Delvechio,
Juventus - Paulo Rossi, Giovinco, Imobille, Candreva, Marchisio.
Lazio - Nesta, Tasotti, Di Biagio, Di Vaio, Matarazzi, Di Canio,
Roma - Totti, De rosi, Bruni Conti, Fiorence, Simone Pepe, Di livio, Peruzzi,
 

Acha uzushi.

Johan Cruyff allileta Total Football nasio Tiki-taka. Na spain pamoja wanatumia Tiki-taka.
Luis Aragoness ndie Bosi wa hiyo spanish dominess unayoizungumza. Alivowatumia Xavi na Iniesta kwenye National team hata huko Barca hawakua wakiwatumia ivo. Na ndio sababu baada ya hapo Guardiolla akawaruhusu Ronaldinho na Deco waondoke, na baadae kuwasafisha Toure na Etoo. Alichokiona Xavi na Iniesta wamekifanya ndani ya national team aliamini na pale watawaza.

Silva,Isco, Villa, Senna, Alba, Ramos, Casillas, wote hawajapo katiza La masia. Infact ni XAvi na Iniesta ndio zawadi ya kweli ya taifa La Spain kupita La masia. Ao wengine wote vijalizio tu.
 
Mkuu ungekuwa sahihi kama ungesema na vigezo vilivyo tumika kupanga hiyo orodha.
 
#10 Feyenoord
#9 Southampton
#8 Santos
#7 São Paulo
#6 Manchester United
#5 Sporting Lisbon
#4 Real Madrid
#3 Ajax
#2 Bayern Munich
#1 FC Barcelona
kama kuna ataebisha basi anaubishi wa Asili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…