YouTube sahivi ndo kipimo cha muziki mzuri

YouTube sahivi ndo kipimo cha muziki mzuri

Mshumaa_Tz

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2020
Posts
681
Reaction score
2,501
Naomba nisiwe Mnafiki YouTube sio kipimo cha muziki Mzuri.

Naona watu kila siku wanalilia views kuliko kurequest ngoma kweny TV na radio .

Nyimbo ikifanikiwa kupenya kwenye radio za bongo na nje , pia na Television hapo hata sisi tusiokuwa na smart phone nyimbo Tutailewa ...na msanii atapata show mikoani kibao..

Watu kama Nikki mbishi walijifanya awapeleki nyimbo zao radio ...sahivi wamekuwa awasikiki japokuwa uwezo nimkubwa.

Wasanii kama bright , young killer Fid q wamekuwa wakisikika mwaka hadi mwaka sababu ya radio wala siyo YouTube
 
Naomba nisiwe Mnafiki YouTube sio kipimo cha muziki Mzuri.

Naona watu kila siku wanalilia views kuliko kurequest ngoma kweny TV na radio .

Nyimbo ikifanikiwa kupenya kwenye radio za bongo na nje , pia na Television hapo hata sisi tusiokuwa na smart phone nyimbo Tutailewa ...na msanii atapata show mikoani kibao..

Watu kama Nikki mbishi walijifanya awapeleki nyimbo zao radio ...sahivi wamekuwa awasikiki japokuwa uwezo nimkubwa.

Wasanii kama bright , young killer Fid q wamekuwa wakisikika mwaka hadi mwaka sababu ya radio wala siyo YouTube
Mashabiki ni misukule.

Media wamegeuka Promoters.

Wasanii wamekuwa YouTubers.

Poleni mnaoendelea kupigishiwa hizo takataka.
 
Msio na smartphone niwa chache kuliko wenye izo TV

Sent from my SM-A105G using Tapatalk
 
Na kwa nini kuomba wimbo redioni au kwenye TV iwe ndio kipimo?

Kwani wanaohitaji kusikiliza redioni au kwenye TV si ni Watu hao hao tu watakaohitaji kuangalia hata kwenye Youtube?.

Sasa kwa utandawazi huu kweli bado unatarajia Watu watasubiri wimbo redioni au kwenye TV ili hali kwenye You tube una uwezo wa kusikiliza wimbo muda wowote na mahali popote.

Tena You tube ni uwanja huru kuliko Redio au TV zinazomilikiwa na Mtu ambaye ukihitilafiana naye nyimbo hazitasikika.
 
Kwann unatolea mfano wa watu waliofeli na sio waliofanikiwa,Huko youtube wanalipwa pia hela nzuri tuu,Ingekua wewe Unafanya mziki alaf Redio zinaringa kupiga mziki wako utafanyaje?lazima utafute njia mbadala ili kazi iende sokoni,Na huko ambako unaponda wewe ndio sehemu ambayo dunia nzima inaangalia sasa Redio si inasikika Tanzania tuu.
 
radio je?
Unazungumzia redio hizi zinazobagua wasanii au redio zipi unapozungumzia promo wanatoa zakimember na kujuana zinafigisu nyingi na chonganishi alafu pia wanyonyaji ebu kuwa serious huko kwenye mitandao ndio kwenye hela.
 
Kiukweli Mimi ni mwaka wa tatu sasa , sijawah kufungua redio na kusikiliaza kipind chochote kile , ila Niko well informed kuliko hao wanaotegemea redio au tv , tv yenyewe wiki ya pili sasa sjawasha , Sana Sana huwa naangalia safari channel ila nilipogundua wapo very narrow kwenye vipind yaan kila sku wao ni kumuelezea ndege anayeitwa tandawala , nikastisha kuwasha .....

Kama ni movie nadownload mwenyewe tena latest movie , napenda war movie hasa real story za ww2, Ww1, Korean war nk, action pia na movie za kivita za kichina ,

Kwa sasa redio na tv ni zilipendwa , labda tv za mbele huko cse wao wanaenda minute to minute, sio akina Millard ayo anagoogle alaf anakuja kuwaoshea.....
 
una mawazo yakizamani sana mkuu, haya mawazo ulipaswa kuyatoa zama za mawe na sio leo..
 
Back
Top Bottom