Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Daah freemason tenaYaani ukizingua Freemasons wanakunyoosha mpaka unakua kapuku kabisa.
Kabla hamjasaini mikataba muwe mnaangalia mbele sio unasaini ukishafanikiwa unataka kujitoa lazima unyooshwe
Jamaa kanichekesha kinomaWabongo bhana..!
Jamaa anajua sana ila ndiyo hivyoJamaa Talent ni his middle Name...
Yaani Robert Talented Kelly its a shame to end this way na kukumbukwa kwa mabaya..., anyway wengi wangeweza kutenganisha kazi na mwenye kazi kama mimi nadhani ingekuwa poa zaidi
By the way nadhani mkuu unaleta Chai yaani na wewe ulipenda Pacha na Jamaa yako alipenda Pacha mwingine mkadhani ni mmoja !!!! au sijakuelewa mkuu ?
siku moja jaribu kutumia dark web au deep web ndio ujue ulimwengu mwingine acha penta wewe ...Najua jinsi your small intestine ilivyoliwa na wadudu
Kha sasa threesome ilikuwaje?Mimi na jamaa yangu tulishare demu mmoja, sio mapacha.
Nakubaliana na weweWazungu wakipania kukushusha watakushusha tu Ila mwamba alikua anajua kuimba
Acha kabisa Mkuu..Kwa watu kama sisi ambao hatu-follow mtu bali kazi..., nadhani taendelea kusikiliza nyimbo zake (mtu anaweza kuwa mbaya lakini kazi zake nzuri)
Baniani Mbaya Kiatu chake Dawa...., Kwa ulimwengu kukosa kazi za Robert Kelly itakuwa ni Pigo kubwa sana.... kama vipi aziuze zote kwa wadau fulani ili tuendelee kuburudika....
Kapike ugali ule ulale wewe mama.Wabakaji iwe fundisho haijalishi nani au nani
Hivi kuna watu wanaojidhalilisha kingono kuzidi hawa mashoga?Mtandao wa #YouTube umeondoa Chaneli za mwimbaji R. Kelly ambazo ni RKellyTV na RKellyVevo ukilenga kujitenga na Mwimbaji huyo ambaye amehukumiwa kwa Vitendo vya Udhalilishaji Kingono Mwezi Septemba.
====================
YouTube said it has removed R&B singer R. Kelly's channels from its video platform, distancing itself from the singer who was convicted of sex trafficking last month.
R. Kelly was convicted by a federal jury in September in his sex trafficking trial, where prosecutors accused the singer of exploiting his stardom over a quarter-century to lure women and underage girls into his orbit for sex. read more
Two of his channels, RKellyTV and RKellyVevo, have been removed from one of the world's largest video platforms and the singer will no longer be able to create or own any other YouTube channel, YouTube said in a statement sent late on Monday, following Reuters' request for comment.
Hiyo mbuzi hakuna kitu inajua...inafikiri hizo Ni hadithi za sindbadi bahaliawewe unashinda kwenye safe web hata dark web hujawahi kutumia wewe naye unajua nini kwenye ulimwengu huu ?
Binafsi naona kilichomuokoa MJ ni ile fact kuwa alijinasibisha na uzungu zaidi kuliko weusi, yaani aliukataa weusi na kuufanya uzungu ndio dili.Wazi kabisa! Michael Jackson mwenyewe alitakiwa azitapike mali zote ashukuru yeye walimtoa kafara tu 😅
Kwangu mimi binafsi he's THE FINEST MUSICIAN to ever grace music stages,na hakuna lolote alilo/atakalofanya litakalobadili mtazamo wangu huu!Kwa watu kama sisi ambao hatu-follow mtu bali kazi..., nadhani taendelea kusikiliza nyimbo zake (mtu anaweza kuwa mbaya lakini kazi zake nzuri)
Baniani Mbaya Kiatu chake Dawa...., Kwa ulimwengu kukosa kazi za Robert Kelly itakuwa ni Pigo kubwa sana.... kama vipi aziuze zote kwa wadau fulani ili tuendelee kuburudika....
Actually,he himself IS TALENT!Jamaa Talent ni his middle Name...
Yaani Robert Talented Kelly its a shame to end this way na kukumbukwa kwa mabaya..., anyway wengi wangeweza kutenganisha kazi na mwenye kazi kama mimi nadhani ingekuwa poa zaidi
By the way nadhani mkuu unaleta Chai yaani na wewe ulipenda Pacha na Jamaa yako alipenda Pacha mwingine mkadhani ni mmoja !!!! au sijakuelewa mkuu ?