Yoweri Kaguta Museveni: We were gaining the grounds of Kampala, lead by Colonel Mahfoudh

Yoweri Kaguta Museveni: We were gaining the grounds of Kampala, lead by Colonel Mahfoudh

Amemuongelea pia Military Atachee wa Msumbiji, inawezekana Mahfoudh utaalamu wake ulihitajika Uganda. Sina uhakika.

I also think so...hata kupelekwa Mozambique, was also a security strategy. Tukumbuke enzi zile adui mkubwa alikuwa kaburu wa SA. Na waliogopa kama wangeweza overrun Mozambique na Renamo wao, adui angekuwa just on the boarder.
I think Col Mahfoudh was still working for the government
 
..Nadhani habari hii inahusu Museveni na NRA walivyompindua Gen.Tito Okello Lutwa mwaka 1986.

..Inajulikana kwamba Col.Mahfoudhi hakupigana ktk vita ya 1979 iliyomuondoa Iddi Amin madarakani.

..Pia nadhani Mganda aliyekuwa karibu na majeshi ya Tanzania mwaka 1979 wakati yanaingia Kampala ni Lt.Col.David Oyite Ojok, sio Yoweri Museveni.

..David Oyite Ojok ndiye aliyetangaza kwenye Radio ya Uganda kwamba utawala wa Iddi Amin umeanguka. Tanzania hawakutaka kutangaza kwa kuogopa kuonekana kuwa Tanzania inaikalia au inaitawala Uganda.

Interesting names! Col Oyite Ojuk...alikufa kwa ajari ya helicopter wakati NRM wanapambana na Tito Okello.
Ndio mapenzi ya Museveni na Kagame yalipothibitishwa? Just curious!
 
ni wakati sasa JWT wafanye declassification ya habari za vita.
Hii ni changamoto hasa... kwenye kitabu mlinzi wa Mwalimu, hata habari za jaribio la mapinduzi ya 1964 bado ziko classified
Kuna sheria yoyote ya kuruhusu baadhi ya classified information kutolewa nje baada ya muda fulani?
Sijui kwa Tanzania... tatizo hata wa kuuliza hakuna. Ila US wana utaratibu wa miaka 25, 50, 75 na 100. Ingawa kuna nyingine ni forever classified
 
Hii ni changamoto hasa... kwenye kitabu mlinzi wa Mwalimu, hata habari za jaribio la mapinduzi ya 1964 bado ziko classified

Sijui kwa Tanzania... tatizo hata wa kuuliza hakuna. Ila US wana utaratibu wa miaka 25, 50, 75 na 100. Ingawa kuna nyingine ni forever classified

😂😂😂😂😂....but nothing lasts forever. Pengine tunakosea. Kuna sababu ya kuanza kuandika role models wetu walifanya nini
 
Back
Top Bottom