Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,160
- 9,151
Amemuongelea pia Military Atachee wa Msumbiji, inawezekana Mahfoudh utaalamu wake ulihitajika Uganda. Sina uhakika.
I also think so...hata kupelekwa Mozambique, was also a security strategy. Tukumbuke enzi zile adui mkubwa alikuwa kaburu wa SA. Na waliogopa kama wangeweza overrun Mozambique na Renamo wao, adui angekuwa just on the boarder.
I think Col Mahfoudh was still working for the government