Amemuongelea pia Military Atachee wa Msumbiji, inawezekana Mahfoudh utaalamu wake ulihitajika Uganda. Sina uhakika.
..Nadhani habari hii inahusu Museveni na NRA walivyompindua Gen.Tito Okello Lutwa mwaka 1986.
..Inajulikana kwamba Col.Mahfoudhi hakupigana ktk vita ya 1979 iliyomuondoa Iddi Amin madarakani.
..Pia nadhani Mganda aliyekuwa karibu na majeshi ya Tanzania mwaka 1979 wakati yanaingia Kampala ni Lt.Col.David Oyite Ojok, sio Yoweri Museveni.
..David Oyite Ojok ndiye aliyetangaza kwenye Radio ya Uganda kwamba utawala wa Iddi Amin umeanguka. Tanzania hawakutaka kutangaza kwa kuogopa kuonekana kuwa Tanzania inaikalia au inaitawala Uganda.
Hii ni changamoto hasa... kwenye kitabu mlinzi wa Mwalimu, hata habari za jaribio la mapinduzi ya 1964 bado ziko classifiedni wakati sasa JWT wafanye declassification ya habari za vita.
Sijui kwa Tanzania... tatizo hata wa kuuliza hakuna. Ila US wana utaratibu wa miaka 25, 50, 75 na 100. Ingawa kuna nyingine ni forever classifiedKuna sheria yoyote ya kuruhusu baadhi ya classified information kutolewa nje baada ya muda fulani?
Hii ni changamoto hasa... kwenye kitabu mlinzi wa Mwalimu, hata habari za jaribio la mapinduzi ya 1964 bado ziko classified
Sijui kwa Tanzania... tatizo hata wa kuuliza hakuna. Ila US wana utaratibu wa miaka 25, 50, 75 na 100. Ingawa kuna nyingine ni forever classified