Yoweri Mseveni: Marufuku Ngono Ya Mdomoni, Mdomo Ni Kwa Ajili Ya Kula

Yoweri Mseveni: Marufuku Ngono Ya Mdomoni, Mdomo Ni Kwa Ajili Ya Kula

Aache kuhangaika na mambo ya kipuuzi apambane kufuta umasikini huko Uganda
 
Hivi hiyo marufuku atai-enforce kivipi?! Ina maana kila wakiingia chumbani watakuwa wanaingia na msimamizi wa kuwasimamia! Marufuku zingine ni za kufurahishana tu.
 
Hivi hiyo marufuku atai-enforce kivipi?! Ina maana kila watakakuwa wakiingia chumbani watakuwa wanaingia na msimamizi wa kuwasimamia! Marufuku zingine ni za kufurahishana tu.
Labda mwenza mmoja wapo akikataa na akalazimishwa anakuwa na haki ya kwenda kushtaki kupigishwa blow job
 
Back
Top Bottom