DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,497
- 5,090
Mlango ukiufunga halafu ukamwambia mtoto asiingie, ni kama umemtuma afanye kila namna aingie ili aone kilichomo humo wakati mlango ukiwa wazi hatakuwa na shida na hicho chumba .
Sijui hawa viongozi wanapromoti haya mambo kwa makusudi au bahati mbaya???!!
Utafiti ukifanyika kuna ongezeko la watu watakao ingia ktk style hii baada ya marufuku hii ya futuhi
Sijui hawa viongozi wanapromoti haya mambo kwa makusudi au bahati mbaya???!!
Utafiti ukifanyika kuna ongezeko la watu watakao ingia ktk style hii baada ya marufuku hii ya futuhi