Yoweri Museveni ampongeza Uhuru Kenyatta, rais Magufuli ameshatoa pongezi?

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Hongera Kaguta kwa kuheshimu diplomasia, ingawa kuna wakati mlipishana na Uhuru kuhusu kisiwa cha Mingori lakini umeonyesha diplomasia ya hali ya juu ili kudumisha ujirani mwema.

Hata kama hatumpendi lakini Wakenya wamemchagua kwa kura za kishindo ndio rais wao kwa miaka mitano ijayo.



Hongera Uhuru Kenyatta kwa kuaminiwa tena na wananchi wa Kenya.
Hongera Wakenya kwa kumaliza uchaguzi wenu kwa amani idumisheni amani mliyoitengeneza kwa muda mrefu msikubali mtu mmoja aharibu future ya Kenya.
 
uhuru kenyata najua na yeye atakuwa anajipanga kutusaidia kumuondoa rafiko yake na raila,amvuruge kabisa
 
Kwan Lowasa na Mbowe wamesha mpa hongera au kuna kifungu chochote kile kimeandikwa magufuri lazima ampe hingera kenyata kwa uchaguzi alio shinda??????
 
Wewe limburula unimpeachable mzigo Rais, atapongeza kadri atakavyoona inafaa. Kupongeza kwa nchi nyingine siyo lazima kwetu. Nyie manyumbu mlikimbia humu baada ya matokeo kubadilishwa na mahakama na mpaka sasa kimoyomoyo mnamlaani Kenyatta kwa kuwaaibisha kwa yote aliyokwisha kuyafanya dhidi ya wapinzani. Furaha yenu ya leo na kushangilia maudlin yanayowatokea wapinzani wenzetu wa Kenya haitwaaacha salama come 2020.
 
Hakusema on behalf of Kenyans,but,on behalf of EAC. Magu anajua uchaguzi wenyewe wakupikwa,apongeze haraka nn?
 
kwani lazima??..Yoweri Museveni yake imetosha basi tunashukuru...kagame akitaka pia ni sawa ila si lazima...Hailemariam wa Ethiopia pia ni sawa...Magu akae na hongera zake...nchi yenye uchumi mkubwa zaidi ya zote EAC hatuhitaji hongera ili kujiendeleza...
 
Haha haha, uchaguzi Wa kwanza angalau ulikua nafuu ila huu Wa pili duu changamoto
 
Kwan Lowasa na Mbowe wamesha mpa hongera au kuna kifungu chochote kile kimeandikwa magufuri lazima ampe hingera kenyata kwa uchaguzi alio shinda??????
Shule za kata hizi!! Kuandika kwenyewe hujui!! Na diplomasia nayo huelewi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…