Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Mkuu mi namuona anajua mambo mengi.. Sasa ulitaka akunje sura awe na sura kama yako ..??Smart kwa kuwa anachekacheka ovyo!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mi namuona anajua mambo mengi.. Sasa ulitaka akunje sura awe na sura kama yako ..??Smart kwa kuwa anachekacheka ovyo!??
Labda mambo ya chama na serikali Babie was muziki mwingine bwana..she was so so smart approach ya kuchokoza mada isiyochosha wala kukera,maswali ambayo hayana biazness ya papo kwa papo hiyo kija bint lindi hakuna lolote...Mkuu mi namuona anajua mambo mengi.. Sasa ulitaka akunje sura awe na sura kama yako ..??
Sasa Kama n hivyo, mbona kwenye event za clouds hasa za biashara ana host?Yeye ndo wa kwanza kuwa na hicho kipindi kabla ya Babie..yaani ndo waanzilishi yeye na kina Hudson Kamoga
Huyo Babie watakuwa tu wameshindwana mikataba au kuna ugomvi tu umemfanya asepe..Kusaga naskia habembelezi na kuna staff pia wameliwa vichwa
Mombasa kenyaHivi huyo binti ni mzawa wa mkoa gani hapa Tanzania?
Ni MkenyaHivi huyo binti ni mzawa wa mkoa gani hapa Tanzania?