Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani wanajamvi nisaidieni mwenye taarifa kuhusu alipo Basila Mwanukuzi, yule demu aliyewahi kushinda Miss Tanzania miaka ya tisini mwishoni yuko wapi kwa sasa na anafanya nini???
hivi unajua maana ya demu ww??
thread zenu zisipochangiwa mnalalamika!!
shit nyoosha lugha yako ikae sawa, sijapenda!!
Jamani wanajamvi nisaidieni mwenye taarifa kuhusu alipo Basila Mwanukuzi, yule demu aliyewahi kushinda Miss Tanzania miaka ya tisini mwishoni yuko wapi kwa sasa na anafanya nini???
Thanx very much Caroline maana hili ndilo jibu nililokuwa nataka sio porojo za watu wanne wa mwanzo hapo juu. Nitaenda ku-set nywele zangu Jumatano wiki hii maana nitakuwa off kazini! Unaweza kunielekeza vema saluni ilipo ili nisipotee kama natokea upande wa mjini dada.......:help:Siyo mama wa nyumbani, ndiy mmiliki wa The Look Salon pale Victoria (mjasiiamali wa nguvu). Ana mtoto mzuri wa kiume almost 4 month now. Ana saloni matata you wont regret kuingia na kukaribishwa na tabasamu lake. I love that girl siyo utani. Kamuungisheni jamani, dadaz wote
Siyo mama wa nyumbani, ndiy mmiliki wa The Look Salon pale Victoria (mjasiiamali wa nguvu). Ana mtoto mzuri wa kiume almost 4 month now. Ana saloni matata you wont regret kuingia na kukaribishwa na tabasamu lake. I love that girl siyo utani. Kamuungisheni jamani, dadaz wote
Huyu na ile biashara yake akakubali kazi ya kipuuzi ya u DC tena porini huko Korogwe?Unasema?
Sahv atulie ale mpunga wake tu udc anajichosha tu,Huyu na ile biashara yake akakubali kazi ya kipuuzi ya u DC tena porini huko Korogwe?
Anajiliza utadhani kakatwa kichwaSahv atulie ale mpunga wake tu udc anajichosha tu,
Ova