Yu wapi kiungo fundi Yanick Litombo Bangala?

Emmahu

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2014
Posts
977
Reaction score
1,713
Sijamuona akitambulishwa leo na wala sijasikia habari zake za usajili kama ilivyo kwa Mayele. Ameenda huyu mwamba?
 
Na Djuma Shabani pamoja na Mayele nao hawajaonekana

Nasema hivyo kwasababu zile zilikuwa ni tetesi haikuwa taarifa rasmi
Yaan kama Djuma, Mayele na Bangala wameondoka kweli, basi hii timu itaanguka vibaya msimu huu kwasababu hawa jamaa walikua ni backbone ya timu.
 
Yaan kama Djuma, Mayele na Bangala wameondoka kweli, basi hii timu itaanguka vibaya msimu huu kwasababu hawa jamaa walikua ni backbone ya timu.
Djuma Shabani sio ishu sana ila kwa Mayele na Bangala ndio watu haswa katika msimu uliopita. Mayele sijajua ata riplesiwa na nani ambaye atakuwa sawa au zaidi ya yeye. Bangala alikuwa anafaa kwaajili ya backup ya beki au kiungo mkabaji. Ngoja tuone utakuwa ni msimu wa aina gani kwa Yanga ila kuna kazi nzito hasa kutokana na benchi jipya
 
Mashabiki wa simba punguzeni mchecheto. Yanga bado ina kikosi imara.

Na ushahidi ni mlinganisho wa hiki kikosi kilichoanza, dhidi ya kile kilichoanzia nje.
 
Kuna mahali nimeandika kuwa kuna mambo magumu yameikabili Yanga kwa wakati mmoja, ndio maana unaona kuna baadhi ya vitu vimeyumba. Hersi anatakiwa afanye delegation ya baadhi ya majukumu, labda kama Kamati zimemsusia
Baada ya boom kinachofuata ni recession, hatuwezi kuepuka hiyo cycle kwaiyo hakuna haja ya kumuangushia jumba bovu Hersi. Hii timu msimu jana ilikua kwenye peak na msimu huu inashuka kama ilivyokua kwa Simba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…