Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Sizungumzii specific area la kiwango, naangalia mambo kadhaa ya kiutawala ndio maana naona kama Hersi anajibebesha mizigo mingiBaada ya boom kinachofuata ni recession, hatuwezi kuepuka hiyo cycle kwaiyo hakuna haja ya kumuangushia jumba bovu Hersi. Hii timu msimu jana ilikua kwenye peak na msimu huu inashuka kama ilivyokua kwa Simba.