Elections 2010 Yu wapi mgombea mwenza wa CHADEMA?

Naona leo CCM imepandisha dau maana mnajipanga kama wanne kabla hamjaanzisha mada kibudu

Ama kweli ukimshika Simba sharubu, utajeruhiwa....

Sipati majibu hapa zaidi ya matusi na kejeli. Au ndo mambo ya mkuki kwa nguruweeee..


Wapi JF, naombeni majibu.....


Nawakilisha Oktoba 31
 
alichemsha Jangwani ndo maana wamemficha yeye ndo aliongea pumba pale jangwani mpaka matangazo ta TV yakakatwa.


Usitake kuongea uwongo na kuwadanganya watu, matangazo yalikatwa wakati Marando anawataja mafisadi kwa majina, alipoanza kusema takukuru......matangazo yakatwa.
 
...Ukisikia kukwama kimawazo ndio huko sasa huyo mgombewa mwenza ndio atakayeongoza nchi au Rais au? yale yale Uchaguzi si lazima kushinda!!!
 
:dance::dance::dance::dance::dance::dance:anafanya kampeni nadhani mtamuona siku ya kuapishwa so punguza presha
 


Hiyo Red inaonyesha jinsi unavyokurupukia mambo. Nec wanatoa masharti ya rais na makamu wa rais au ni katiba ya nchi ndiyo inabainisha? Go to school!!!!
 
MASHEIKH MWAKA HUU HATUSHIKIKI. ndugu yangu amezinduka na ameona bora akajilalie.
 
Hiyo Red inaonyesha jinsi unavyokurupukia mambo. Nec wanatoa masharti ya rais na makamu wa rais au ni katiba ya nchi ndiyo inabainisha? Go to school!!!!

uko sahihi kwenye hiyo red, how about all blue?
 
Hiyo Red inaonyesha jinsi unavyokurupukia mambo. Nec wanatoa masharti ya rais na makamu wa rais au ni katiba ya nchi ndiyo inabainisha? Go to school!!!!

uko sahihi kwenye hiyo red, how about all blue?
 

Kwa sababu CV yake haikidhi viwango!!!! Habari za kuaminika ni kwamba huyu ni STD 7. Huenda inaogopwa kuwa watu watachelea kumchagua kwa sababu huenda siku moja nchi ikatawaliwa na Std7! Mbona wagombea wenza wa vyama vingine tunawasikia?

Kwa kweli ingekuwa uungwana ikajibiwa tujue aliko badala ya kutoa maneno ya kejeli
 
mgombea mwenza wa chadema leo yuko mkoa wa kaskazini pemba katika majimbo ya kojani na ole




 
:smiling:CHADEMA kumtambulisha Makamu wa Rais kwa Wananchi kwenye sherehe za kuapishwa Rais wa Awamu ya Nne. Mh. Dr. Wilnroad Slaa:smiling:

Mitanzania bwana inaenda kwenye uchaguzi hata haijui inachagua nini?
 
Mgombea mwenza wa Slaa?Sijamuona katika kampeni na sehemu mbalimbali muda kwa mrefu.Yuko wapi huyu ndugu yetu?


nimeshaeleza na narudia tena kutoa maelezo,mgombea mwenza wetu yuko pale mwalas(mwanakwerekwe language school) anjifua katika ingilishi kozi!! we vipi?? unadhani anaweza kuwa makamu gani wa rahisi asiyejua kusema hata hawayu?? thenki yu??? welkamu??? silaha anatafuta kura yeye ananoa kichwa,kwani ilikuwa ni sapuraiz attack kuwa mgombea mwenza!
 
wanaona aibu kumleta hadharani kwani huwa wanajidai chama cha wasomi,sasa yamewakuta na mgombea mwenza wa darasa la tatu alafu wakatudanganya eti ni darasa la saba!! lol!
 
Kama wewe ni mwanasisiem huna jipya wala sera,nakuonea huruma maana hata mungu haya anayaona ubinafsi mlionao unatisha hivi mnawafikiria lakini walioko huko vijijini mateso wanayoyapata?? Au watajiju na ni hivyo basi hukumu yenu mungu anaijua dhuruma mnayoifanya ya ufisadi nani asiyejua,dr.aliyasema hayo yote wengine wakacheka leo zakia mengo aliyekua waziri wa fedha leo yuko wapi,mabilioni yanaibwa watu hawana habari,wakowapi mauditors,kazi mnayo tupeni(chadema) nafasi maana safu nzima kwanza imeenda shule ya kiroho itambuayo shida za walioko chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…