Elections 2010 Yu wapi mgombea mwenza wa CHADEMA?

Elections 2010 Yu wapi mgombea mwenza wa CHADEMA?

TandaleOne

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2010
Posts
1,644
Reaction score
709
Mgombea mwenza wa Slaa?Sijamuona katika kampeni na sehemu mbalimbali muda kwa mrefu.Yuko wapi huyu ndugu yetu?
 
Mgombea mwenza wa Slaa?Sijamuona katika kampeni na sehemu mbalimbali muda kwa mrefu.Yuko wapi huyu ndugu yetu?

european_owl_1_467x313.jpg
 
Kwani ni kosa kumuulizia huyu mgombea mwenza? Tatizo liko wapi naona wengine wamepanic hadi wanaitana wapumbavu. Duh hiyo kali...Ni vema mwenye jibu akalitoa na sio kutoa maneno ya kejeli au huyu mgombea ana tatizo? Mbona kila mchangiaji analikimbia hili swali?
 
Ukijua yuko wapi then whats next!...Unaanzisha thread ya kipuuzi kama hii, and you still call yourself `Ridhiwan!...shii@@!


Tatizo lenu ni kudhani mnajua kilas kitu.

mtu Kauliza mgombea mwenza CHADEMA yuko wapi,wewe eleza yupo lindi,kigoma,tanga au kwingineko basi.

kwa sababu hata mimi simjui hata kwa sura,sijawahi kumuina au kumsikia kwenye media yoyote Bongo kama wenzake,Juma Dun na Ghalib Bilal.

Sasa tutamchaguaje wazee?

punguza hasira eleza alipo,ina maana yeye hapingi kampeini, kwani niliudhuria mkutano wa Dk Slaa Geita na Mirongoi Mwanza sikumuona

YUKO WAPI,PICHA YAKE,HATUVIONI HUMU JF KUNANI
 
[/COLOR]
Tatizo lenu ni kudhani mnajua kilas kitu.

mtu Kauliza mgombea mwenza CHADEMA yuko wapi,wewe eleza yupo lindi,kigoma,tanga au kwingineko basi.

kwa sababu hata mimi simjui hata kwa sura,sijawahi kumuina au kumsikia kwenye media yoyote Bongo kama wenzake,Juma Dun na Ghalib Bilal.

Sasa tutamchaguaje wazee?

punguza hasira eleza alipo,ina maana yeye hapingi kampeini, kwani niliudhuria mkutano wa Dk Slaa Geita na Mirongoi Mwanza sikumuona

YUKO WAPI,PICHA YAKE,HATUVIONI HUMU JF KUNANI

Na wewe huna kipya! Ulileta habari zisizo na miguu wala kichwa za huko Nkenge! hivi pamoja na kuwa mwandishi wa habari wa uhuru na Mzalendo basi ni propaganda tu! shame on you
 
Kwani ni kosa kumuulizia huyu mgombea mwenza? Tatizo liko wapi naona wengine wamepanic hadi wanaitana wapumbavu. Duh hiyo kali...Ni vema mwenye jibu akalitoa na sio kutoa maneno ya kejeli au huyu mgombea ana tatizo? Mbona kila mchangiaji analikimbia hili swali?

Mi sijui kwa nini mtu anashindwa kujibu hili kistaarabu
 
[/COLOR]
Tatizo lenu ni kudhani mnajua kilas kitu.

mtu Kauliza mgombea mwenza CHADEMA yuko wapi,wewe eleza yupo lindi,kigoma,tanga au kwingineko basi.

kwa sababu hata mimi simjui hata kwa sura,sijawahi kumuina au kumsikia kwenye media yoyote Bongo kama wenzake,Juma Dun na Ghalib Bilal.

Sasa tutamchaguaje wazee?

punguza hasira eleza alipo,ina maana yeye hapingi kampeini, kwani niliudhuria mkutano wa Dk Slaa Geita na Mirongoi Mwanza sikumuona

YUKO WAPI,PICHA YAKE,HATUVIONI HUMU JF KUNANI

Lol!Wanajiita wanaharakati.
 
Jibuni swali au mumeshikwa pabaya? Yuko wapi mgombea mwenza wa chadema? Au kaingia mitini?
 
Watu someni ratiba ya kampeni za chadema. Kama ungeangalia ratiba na kutueleza huko alikotakiwa hayupo then ukauliza tungeanza kutafuta sababu.
 
Nadhani labda ni kwa sababu waandishi hawaandiki habari zake ndio maana anatafutwa hapa JF
 
Yuko kwenye kampeni.Kwani vipi?????????????????.Mnamuhitaji,hana pesa za kujitangaza kama wengine afanyeje??????????????
 
Mgombea mwenza wa Slaa?Sijamuona katika kampeni na sehemu mbalimbali muda kwa mrefu.Yuko wapi huyu ndugu yetu?

Ukweli, Chadema hawakuwa tayari kwa ajili ya kinyang'anyiro cha urais. Wanafahamu vizuri kabisa kwamba Slaa alikuwa anatetea kiti chake cha Karatu na Mbowe baada ya kugaragazwa ile 2005 na Kikwete akaona njia pekee kutomvaa mwaka huu kwani kipigo kingekuwa kikubwa zaidi. Akajipima akaona ubunge ndiyo size yake kugombea. Sasa Slaa kugombea urais ni kwamba amelazimishwa lakini pia baada ya yeye nae kuwawekea masharti magumu Chadema kuwa baada ya Oct 31 waendelee kumpatia stahili zake alizokuwa akizipata kama mbunge. Slaa aliamua kuwapa kisogo wana karatu kwa ajili ya mkataba huo akijua wazi hawezi kushinda urais na vilevile lolote lingeweza kumtokea Karatu kama angeamua kugombea ubunge.


Nini kilichotokea?

Chadema kwa vile haikuwa na mgombea, basi ilibidi wakurupuke na kuanza kukamatia yeyote ambaye alikuwa karibu, walijaribu kichinichini kuwashawishi baadhi ya big name ndani ya CCM hasa wale ambao wanawaponda kwa kuwatuhumu sana, lakini wakapigwa chini. Baada ya kukurupuka huko kwa Slaa, wakagundua kuwa hawana mgombea mwenza, wakataka kuwa-fool CUF kwamba waunganishe nguvu na Hamad Rashid awe mgombea mwenza. Lakini wakasahau kuwa tayari walishavunja makubaliano na CUF katika chaguzi mbalimbali ambazo CUF waliomba kusimamisha mgombea mmoja wa upinzani. Kana kwamba haitoshi Chadema ilionesha dharau kubwa kwa CUF kwamba wao wana uwezo wa kwenda kwenye uchaguzi peke yao matokeo yake jimbo la Busanda na Mbeya Vijijini wakayakosa CCM ikaendelea kuyashikilia.


Baada ya mambo kuwa magumu na kutokukubalika zaidi Zanzibar, Chadema ilichofanya ni kutafuta 'bora mgombea mwenza' ili itimize masharti ya NEC lakini wakijua kabisa wanachofanya ni kuwahadaa wa Zanzibar kwani hawana mpango wowote na Muungano. Kwahiyo basi mgombea mwenza yule yupo kama figure tu kwa ajili ya kutimiza masharti ya NEC na wana uhakika kuwa kuwapo kwake sitatizo kwani hawawezi kuupata urais na yeye kuwa makamu wa rais.
Falsafa iliyopo hapo ni kwamba tayari chadema walikwisha shindwa uchaguzi kabla hata mchakato haujaanza na ukitaka kuthibitisha hivyo fuatilia kampeni zao hakuna lolote wanaloelezea zaidi ya hadaa na mambo ya kufikirika tu.

Hopeful this time mgombea mwenza huyu 'hawatamjumbe' ili kusogeza uchaguzi mbele. Maana 2005 walipoona wanazidiwa duh...!!!
 
sio crap elezeni mgombea mwenza wenu yuko wapi?

huyu anajulikana kama running mate sasa mbona anaenda peke yake ?

ss wazanzibari tunajua wazi kuwa CHADEMA ni chama cha kibaguzi na jamaa mumhonga keshatia chake mfukoni katulia, yule jamaa mjanja

nyny hamana lolote mmefilisika kisiasa
 
sio crap elezeni mgombea mwenza wenu yuko wapi?

huyu anajulikana kama running mate sasa mbona anaenda peke yake ?

ss wazanzibari tunajua wazi kuwa CHADEMA ni chama cha kibaguzi na jamaa mumhonga keshatia chake mfukoni katulia, yule jamaa mjanja

nyny hamana lolote mmefilisika kisiasa

Mtu wa Pwani,

Unajua CCM iliamua kabisa mwaka huu hakuna kampeni chafu na ndiyo maana mtaa wa pili wanajitahidi kuleta uchafuzi lakini CCM imekuwa very cool inaendesha kampeni kistaarabu kabisa. Kwenye mikutano zinazomwagwa ni sera tu na si mabomu.

Sasa basi kama tungekuwa tunataka kuwaumbua hao jamaa zetu tungewaletea mikataba ile waliyosainiana na Slaa (mkataba wa kifisadi kabisa) na pochi walilomkatia mgombea mwenza...kuna nuka rushwa,,,rushwa,,,na ufisadi kabisa.

Sasa hapo Masanilo anasema crap, kwa sababu huo ndiyo ukweli.

USHINDI NI LAZIMA
ANGUKO LA CHADEMA LIMEKARIBIA
 
Mtu wa Pwani,

Unajua CCM iliamua kabisa mwaka huu hakuna kampeni chafu na ndiyo maana mtaa wa pili wanajitahidi kuleta uchafuzi lakini CCM imekuwa very cool inaendesha kampeni kistaarabu kabisa. Kwenye mikutano zinazomwagwa ni sera tu na si mabomu.

Sasa basi kama tungekuwa tunataka kuwaumbua hao jamaa zetu tungewaletea mikataba ile waliyosainiana na Slaa (mkataba wa kifisadi kabisa) na pochi walilomkatia mgombea mwenza...kuna nuka rushwa,,,rushwa,,,na ufisadi kabisa.

Sasa hapo Masanilo anasema crap, kwa sababu huo ndiyo ukweli.

USHINDI NI LAZIMA
ANGUKO LA CHADEMA LIMEKARIBIA

Hapa kuna wababaishaji wengi kaka.Watazunguka ila inaonyesha tu levo ya stupidity.:becky:
 
Back
Top Bottom