Ni muda mrefu sasa mwana Jf Suzy Elias haonekani humu jukwaa la Siasa na isivyo kawaida!
Yu wapi ndugu yetu?
Yu wapi ndugu yetu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona unajitekenya na kucheka falasi weweMwanga Lutila usikariri eti kila mgeni humu hakuwa mfuatiliaji wa mijadala ya Jf.
Na si kila kuku mgeni huhitaji kamba mguuni-jiongeze!
Shukrani!Naona unajitekenya na kucheka falasi wewe
Kwa hiyo una ID tatu ?Ile ilikuwa ID yangu mkuu, nilisahau password yake!
hapana mkuu nina ID 6, ila kwa sasa zimebaki tanoKwa hiyo una ID tatu ?
Baada ya kuiacha ya Suzy Eliashapana mkuu nina ID 6, ila kwa sasa zimebaki tano
Anaweza kuwa ndie Suzy mwenyewe nini huyu?New member anamuulizia old member?
Umemjuaje au ndo umekuja kujiulizia dada?
Kanzu mpya, mwili wa zamani...ila nmecheka sana❗New member anamuulizia old member?
Umemjuaje au ndo umekuja kujiulizia dada?