BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Watanzania wengi ni wachawi lakini hatuna vibuyu, kwahyo tukisikia taarifa zako mbaya tunafurahi kwakuwa wenye vibuyu wametusaidiaHata sijui ni kwanini waTanzania huwa tunapenda kusikia habari mbaya za watu na kufurahia kana kwamba ni jambo la kupendeza......
Hakika ndugu......unachokisema ni sahihi kabisa....sijapatapo kuona Mtanzania akasikia habari njema za mtu akampongeza......na hutasikia akisambaza hizo habari njema......bali akisikia habari mbaya......ndio anakuwa wa kwanza kuzisambaza na kukufedhehesha.......Watanzania wengi ni wachawi lakini hatuna vibuyu, kwahyo tukisikia taarifa zako mbaya tunafurahi kwakuwa wenye vibuyu wametusaidia
Mimi ni mmoja wa watu tuliofuatilia ule msimu wa big brother almost for 12 hrs in a day, wakina Gaetano wa uganda, cherise, abby , mwisho n.k ukweli ni kwamba mwisho alipata 50 millions, akaja kuzimwaga shimoni.
Richard nae ameolewa na mzungu flani hivi pale shanty town-moshi.anazurura tu mitaanihila zile sijui vipi,idris ndio huyu,rich sijui yuko wapi.
na ni kama wabongo tulikuwa na kismat na ile shindano.
Ni reflection ya namna mtu mbinafsi alivyo moyoni na hisia zake juu ya maisha. Watu walioshindwa au kukwama na wanaona wamekosa namna ya kutoka huwa wanachukia kuona wengine wanafanya progress za maisha wanataka wafeli ili wajiskie vizuri.Hata sijui ni kwanini waTanzania huwa tunapenda kusikia habari mbaya za watu na kufurahia kana kwamba ni jambo la kupendeza......
Mchawi sio lazima awe na tunguli au hirizi kuwa mchawi. Uchawi ni tabiaWatanzania wengi ni wachawi lakini hatuna vibuyu, kwahyo tukisikia taarifa zako mbaya tunafurahi kwakuwa wenye vibuyu wametusaidia
Hata sijui ni kwanini waTanzania huwa tunapenda kusikia habari mbaya za watu na kufurahia kana kwamba ni jambo la kupendeza......
Wanapenda kwasababu huyo mtu alikuwa anajiona sana au alikuwa ana tesa watu kupitia cheo au Pesa.Hata sijui ni kwanini waTanzania huwa tunapenda kusikia habari mbaya za watu na kufurahia kana kwamba ni jambo la kupendeza......
Kwanini ni ngumu kumuelewa mkuu?Ni vigumu sana kumuelewa huyu mwamba
Watu wanamchukulia tofauti ila jamaa ni mtu wa kujichanganya na kupiga mishe mbali mbali
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hatari Sana Yaani.....Hata sijui ni kwanini waTanzania huwa tunapenda kusikia habari mbaya za watu na kufurahia kana kwamba ni jambo la kupendeza......
Ncha Kali maamaeeLa hasha!!
Mtera Mwampamba si ndo yule alitimuliwa uDAS Kisarawe kwa kutikisa 'jiko' la mkulu?
Humu ndani watu mna vituko Sana.Ray c anajua kama mumewe wa zamani analima mpunga
Unanikumbushiaze comedy walivyomtania marehemu Kanumba alivyomwita Wema , Kind SepetuEND MWAMCOTTON
Mkaldayo inakuwaje?Uyo sio richie kweli
Mara ya mwisho nikikinbia nae Mr Uk Marathon Km 21.1 hapa Dar, Lkn inaonekana pia kama alikuwa anarecord kipindi maana several time alikuwa anafuatwa na mpiga picha mmoja ambaye alikuwa kama directed kwa ajili ya picha za mnato na video kwa ajili ya jambo fulani.Habari wadau.
Nimejaribu kukumbuka hii love triangle ya Lord eyes, Ray c, na mwisho mwampamba, na naona angalau Hawa wawili Ray c na Lord eyes wanaonekana mahali walipo.
Huyu ndugu yetu aliyeshinda mamilioni ya big brother yupo wapi jamani mwenye kujua, mwenye picha, mwenye taarifa yoyote jamani.
Ninafahamu hii love triangle ilisumbuliwa Sana na drugs, Rehema alikutana na watu wakamsaidia akina mh kikwete na wengineo, eyes yeye alibebwa Sana na Nikki wa pili pamoja na joh, kwa kuamini kipaji chake hawakutaka kipotee wakamsave kutoka kwenye Hilo shimo.
Mwisho jamani, mwisho ili angalau waliokua wanamkubali waangalie namna ya kumsaidia, Mara ya mwisho nilimwona TV e sjui iinaitwa hivyo, akiwa na kipindi kinaitwa boys sjui boys talk kitu Kama hivyo,
Jamani who knows mwisho mwampamba yupo wapi?kuna watu tunamkumbuka in good ways.
Mkuu watanzania wengi wanapata faraja wengine wakianguka. Tena wanafurahi ni njia ya kuwapunguzia maumivu makali. Ni tabia mbaya tunayo. Cha kusikitisha zaidi tunarithishana hii tabia haishi na inazidi afadhali ya Jana.Ni reflection ya namna mtu mbinafsi alivyo moyoni na hisia zake juu ya maisha. Watu walioshindwa au kukwama na wanaona wamekosa namna ya kutoka huwa wanachukia kuona wengine wanafanya progress za maisha wanataka wafeli ili wajiskie vizuri.
Wanatumia ile kanuni ya wengi wape.
Hata usipojiona Bado tu utachukiwa ukiwa na pesa na maendeleo.Wanapenda kwasababu huyo mtu alikuwa anajiona sana au alikuwa ana tesa watu kupitia cheo au Pesa.