Yu wapi Rais Samia? Baada ya matukio haya, ni vema aongee na Taifa

Yu wapi Rais Samia? Baada ya matukio haya, ni vema aongee na Taifa

Shing Yui

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
15,168
Reaction score
38,049
Ukweli ni kwamba, yanayoendelea kwenye hii nchi yanaumza.

Lakini kabla hatujatupa lawama kwa Amiri Jeshi mkuu lazima tujue kwanza alipo na tujue nini msimamo wake kwenye mambo yanayowafanya wananchi wake wanong'one chinichini kama makinda yasiyo na watoto.

Tangu tumepandishiwa miamala hatujamsikia ila tumemsikia waziri wake akitukejeli wananchi kwamba tuhamie Burundi.

Tangu kiongozi wa chama kikuu cha cha upinzani Mh. Mbowe alipokamatwa na kuhusishwa na ugaidi hatujasikia sauti ya rais wetu.

Kuna matamko mbalimbali ya viongozi wa uma kuhusu covid19 lakini hatujamsikia mama! Yuko wapi?

Je, tangu ameapishwa kuna wakati amewahi kupiga kimya namna hii ukizingatia kuna update ya matukio mbalimbali yanayohitaji kauli yake?

Kwenye miamala tuliambiwa amesikia kilio chetu lakini mpaka muda huu sio miamala imerudi kawaida wala sauti yake. Hii sio kawaida!

Mwanzoni vifurushi vilipanda bei akatokea fasta na ile kauli yake ilifanyiwa kazi ndani ya siku mbili vifurushi vikarudi kwenye bei ya awali.

Nikiwa raia wa Tanzania naomba rais aongee na taifa
 
Ukweli ni kwamba,yanayoendelea kwenye hii nchi yanaumza.
Lakini kabla hatujatupa lawama kwa amirijeshi mkuu lazima tujue kwanza alipo na tujue nini msimamo wake kwenye mambo yanayowafanya wananchi wake wanong'one chinichini kama makinda yasiyo na watoto.

Tangu tumepandishiwa miamala hatujamsikia ila tumemsikia waziri wake akitukejeli wananchi kwamba tuhamie Burundi.

Tangu kiongozi wa chama kikuu cha cha upinzani Mh Mbowe alipokamatwa na kuhusishwa na ugaidi hatujasikia sauti ya rais wetu.

Kuna matamko mbalimbali ya viongozi wa uma kuhusu covid19 lakini hatujamsikia mama! Yuko wapi?

Je, tangu ameapishwa kuna wakati amewahi kupiga kimya namna hii ukizingatia kuna update ya matukio mbalimbali yanayohitaji kauli yake?

Kwenye miamala tuliambiwa amesikia kilio chetu lakini mpaka muda huu sio miamala imerudi kawaida wala sauti yake. Hii sio kawaida!

Mwanzoni vifurushi vilipanda bei akatokea fasta na ile kauli yake ilifanyiwa kazi ndani ya siku mbili vifurushi vikarudi kwenye bei ya awali.

Nikiwa raia wa Tanzania naomba rais aongee na taifa
Anaogopa kotonya. Corona ilichofanya mwezi wa tatu 2021 ni kitu kikubwa sana
 
Mnataka Rais awe anaongea ongea kila siku kama zwazwa? Nini maana ya kuwa na wasaidizi? Magu alikuwa anaongea kila siku na kila kitu kufanya mwenyewe mkamuita Meko, huyu anawaamini wasaidizi wake mnalalamika! Nyie jamaa mmeishiwa kabisa, mnabaki kupiga ramli na kuombea watu vifo
 
Urais si kazi rahisi, kuna Rais wa Costa Rica [emoji1080] ilimbidi alale masaa mawili au matatu kwa siku. Mpaka apate simu ya IGP, Mkurugenzi wa CIA ya nchi yake na Mkuu wa Majeshi.
Story nzuri ungeandika UZI INGEPENDEZA
 
Yule mama ni mtu mwema sana,sema kuna watu wanampoteza na yeye ameshindwa kusimama kama Amirijeshi.Jukumu letu Liwe kuwaombea viongozi wetu hekima na wapate nguvu na kuongoza kwa Haki ktk nafasi zao.
Mungu amfungue macho Rais wetu atambue wanaomuingiza chaka na ikiwezekana awaweke pembeni aunde safu yake itakayo aminika.
 
Ukweli ni kwamba, yanayoendelea kwenye hii nchi yanaumza.

Lakini kabla hatujatupa lawama kwa amirijeshi mkuu lazima tujue kwanza alipo na tujue nini msimamo wake kwenye mambo yanayowafanya wananchi wake wanong'one chinichini kama makinda yasiyo na watoto.

Tangu tumepandishiwa miamala hatujamsikia ila tumemsikia waziri wake akitukejeli wananchi kwamba tuhamie Burundi.

Tangu kiongozi wa chama kikuu cha cha upinzani Mh. Mbowe alipokamatwa na kuhusishwa na ugaidi hatujasikia sauti ya rais wetu.

Kuna matamko mbalimbali ya viongozi wa uma kuhusu covid19 lakini hatujamsikia mama! Yuko wapi?

Je, tangu ameapishwa kuna wakati amewahi kupiga kimya namna hii ukizingatia kuna update ya matukio mbalimbali yanayohitaji kauli yake?

Kwenye miamala tuliambiwa amesikia kilio chetu lakini mpaka muda huu sio miamala imerudi kawaida wala sauti yake. Hii sio kawaida!

Mwanzoni vifurushi vilipanda bei akatokea fasta na ile kauli yake ilifanyiwa kazi ndani ya siku mbili vifurushi vikarudi kwenye bei ya awali.

Nikiwa raia wa Tanzania naomba rais aongee na taifa
Nilikuwa nimeamua kwa shati kumwunga mkono kumbe nimekuja kugundua kuwa pale hapana Rais bali pana Rahisi! Bure kabisa limekubali kuendeshwa ka gari bovu!
 
Yule mama ni mtu mwema sana,sema kuna watu wanampoteza na yeye ameshindwa kusimama kama Amirijeshi.Jukumu letu Liwe kuwaombea viongozi wetu hekima na wapate nguvu na kuongoza kwa Haki ktk nafasi zao.
Mungu amfungue macho Rais wetu atambue wanaomuingiza chaka na ikiwezekana awaweke pembeni aunde safu yake itakayo aminika.
Inabidi mama ageukie ndani ya serikali yake.
Kuna wanaompinga waziwazi.
Kwanza nani kamuagiza Siro kubambika wapinzani kesi za ugaidi?
 
Nilishangaa Makamu wake anamsimamisha DED juzi kwa ukali...bila kutamka 'nalifikisha kwenye mamlaka ya Uteuzi.

Nikawaza enzi hizo akiwa Tanga anasema 'Nchi iko salama' kama nani
 
Ukweli ni kwamba, yanayoendelea kwenye hii nchi yanaumza.

Lakini kabla hatujatupa lawama kwa amirijeshi mkuu lazima tujue kwanza alipo na tujue nini msimamo wake kwenye mambo yanayowafanya wananchi wake wanong'one chinichini kama makinda yasiyo na watoto.

Tangu tumepandishiwa miamala hatujamsikia ila tumemsikia waziri wake akitukejeli wananchi kwamba tuhamie Burundi.

Tangu kiongozi wa chama kikuu cha cha upinzani Mh. Mbowe alipokamatwa na kuhusishwa na ugaidi hatujasikia sauti ya rais wetu.

Kuna matamko mbalimbali ya viongozi wa uma kuhusu covid19 lakini hatujamsikia mama! Yuko wapi?

Je, tangu ameapishwa kuna wakati amewahi kupiga kimya namna hii ukizingatia kuna update ya matukio mbalimbali yanayohitaji kauli yake?

Kwenye miamala tuliambiwa amesikia kilio chetu lakini mpaka muda huu sio miamala imerudi kawaida wala sauti yake. Hii sio kawaida!

Mwanzoni vifurushi vilipanda bei akatokea fasta na ile kauli yake ilifanyiwa kazi ndani ya siku mbili vifurushi vikarudi kwenye bei ya awali.

Nikiwa raia wa Tanzania naomba rais aongee na taifa
Nchi inaendeshwa na majaliwa na kina gwajima. They don't respect her.
Ndio maana majaliwa katoa order wapinzani wakamatwe. Ni katili sana jamaa akitakaga kumuua mgombea mmoja aliyejaribu kuchukua fomu ya ubunge2huko kwenye jimbo lake
 
Ukweli ni kwamba, yanayoendelea kwenye hii nchi yanaumza.

Lakini kabla hatujatupa lawama kwa amirijeshi mkuu lazima tujue kwanza alipo na tujue nini msimamo wake kwenye mambo yanayowafanya wananchi wake wanong'one chinichini kama makinda yasiyo na watoto.

Tangu tumepandishiwa miamala hatujamsikia ila tumemsikia waziri wake akitukejeli wananchi kwamba tuhamie Burundi.

Tangu kiongozi wa chama kikuu cha cha upinzani Mh. Mbowe alipokamatwa na kuhusishwa na ugaidi hatujasikia sauti ya rais wetu.

Kuna matamko mbalimbali ya viongozi wa uma kuhusu covid19 lakini hatujamsikia mama! Yuko wapi?

Je, tangu ameapishwa kuna wakati amewahi kupiga kimya namna hii ukizingatia kuna update ya matukio mbalimbali yanayohitaji kauli yake?

Kwenye miamala tuliambiwa amesikia kilio chetu lakini mpaka muda huu sio miamala imerudi kawaida wala sauti yake. Hii sio kawaida!

Mwanzoni vifurushi vilipanda bei akatokea fasta na ile kauli yake ilifanyiwa kazi ndani ya siku mbili vifurushi vikarudi kwenye bei ya awali.

Nikiwa raia wa Tanzania naomba rais aongee na taifa
God forbid,Raisi wetu yupo mzima wa afya.unataka atoke hadharani aende wapi,kariakoo!
 
Back
Top Bottom