Yu wapi Rais Samia? Baada ya matukio haya, ni vema aongee na Taifa

Yu wapi Rais Samia? Baada ya matukio haya, ni vema aongee na Taifa

Mbowe anahusishwa na kutaka kuua viongozi wa serikali, baadhi ya bavicha humu wanadai mpira utarudishwa kati muda si mrefu, rais haonekani, tetesi kuwa jpm haikua natural death...
Mambo ni mengi kweli...atoke hadharani aonekane kwa kweli. Je anaumwa?
 
Gwajima na yeye katangaziw waumini wake wasichanjwe chanjo ya corona - anapingana waziwazi na serikali yake..

Nchi kwa sasa haiko sawa.
 
Watendaji wake wanamgomea wanamdharau check ishu ya tozo mwigulu ndo kwanza yupo kwenye kampeni ya kujipigia debe uraisi 2025 keshaanza drama tunduma za kukusanya watu kuzuia misafara.
 
Ukweli ni kwamba, yanayoendelea kwenye hii nchi yanaumza.

Lakini kabla hatujatupa lawama kwa Amiri Jeshi mkuu lazima tujue kwanza alipo na tujue nini msimamo wake kwenye mambo yanayowafanya wananchi wake wanong'one chinichini kama makinda yasiyo na watoto.

Tangu tumepandishiwa miamala hatujamsikia ila tumemsikia waziri wake akitukejeli wananchi kwamba tuhamie Burundi.

Tangu kiongozi wa chama kikuu cha cha upinzani Mh. Mbowe alipokamatwa na kuhusishwa na ugaidi hatujasikia sauti ya rais wetu.

Kuna matamko mbalimbali ya viongozi wa uma kuhusu covid19 lakini hatujamsikia mama! Yuko wapi?

Je, tangu ameapishwa kuna wakati amewahi kupiga kimya namna hii ukizingatia kuna update ya matukio mbalimbali yanayohitaji kauli yake?

Kwenye miamala tuliambiwa amesikia kilio chetu lakini mpaka muda huu sio miamala imerudi kawaida wala sauti yake. Hii sio kawaida!

Mwanzoni vifurushi vilipanda bei akatokea fasta na ile kauli yake ilifanyiwa kazi ndani ya siku mbili vifurushi vikarudi kwenye bei ya awali.

Nikiwa raia wa Tanzania naomba rais aongee na taifa

Nimesikia mahali inasemwa hafiki 2025,naanza kuelewa.

Kuna harufu Kali ya uhasi,yafuatayo yanafikirisha;

....makamu wa Rais kumsimamisha DED bila kuzingatia mamlaka ya uteuzi,

....Mwigulu kuinuka kuonyesha kutotii maagizo ya Rais,

....Gwajima kupingana wazi na agizo la serikali kuhusu chanjo,

....uchelewaji wa uteuzi ktk nafasi za DEDs,

....ukimya wa Rais. Kuna jambo kubwa linaendelea la uasi ndani CCM na si muda mrefu bomu litalipuka,na uenda safari za Burundi ni kuandaa kimbilio baada ya bomu kufyatuka.
 
Tutaitwa wabaguzi ila ndio ukweli, hii nchi haiko tayari kuogozwa na wanawake. Wako emotional zaidi. Mama mwoga wa kufanya maamuzi magumu kisa anaogopa umiza watu sababu ya usofti wa uanawake hawataki lawama.


Ni kweli tutawaita wabaguzi.
Hata wanaume wapo ambao ni high emotional sana tu.
Mtu kuwa na subira katika maamuzi isitafasiliwe kama ni uoga wa kufanya maamuzi magumu .

Sasa hao wanaume ambao ni less emotional na wenye kuweza kufanya maamuzi magumu wametufikisha wapi tangu Uhuru?

Mbona mambo kama ni yaleyale tu ?

Jipya ni lipi ?

Imeandikwa : hekima itokayo juu ni safi, ina upole, amani, ina utayari wa kusikiliza mawazo ya watu .
Imejaa rehema na matunda mema.
Haina fitina, haina unafiki.

Someni Yakobo 3:17
 
Tutaitwa wabaguzi ila ndio ukweli, hii nchi haiko tayari kuogozwa na wanawake. Wako emotional zaidi. Mama mwoga wa kufanya maamuzi magumu kisa anaogopa umiza watu sababu ya usofti wa uanawake hawataki lawama.
Tayari ilishaonekana uongoz imemshinda
Huyu na washauri wake ndo hao
Kina ndugai na mwingilu

Kwakweli naona bora jk achukue Tu hii
Nchi Kwa mara nyingine
 
Ukweli ni kwamba, yanayoendelea kwenye hii nchi yanaumza.

Lakini kabla hatujatupa lawama kwa Amiri Jeshi mkuu lazima tujue kwanza alipo na tujue nini msimamo wake kwenye mambo yanayowafanya wananchi wake wanong'one chinichini kama makinda yasiyo na watoto.

Tangu tumepandishiwa miamala hatujamsikia ila tumemsikia waziri wake akitukejeli wananchi kwamba tuhamie Burundi.

Tangu kiongozi wa chama kikuu cha cha upinzani Mh. Mbowe alipokamatwa na kuhusishwa na ugaidi hatujasikia sauti ya rais wetu.

Kuna matamko mbalimbali ya viongozi wa uma kuhusu covid19 lakini hatujamsikia mama! Yuko wapi?

Je, tangu ameapishwa kuna wakati amewahi kupiga kimya namna hii ukizingatia kuna update ya matukio mbalimbali yanayohitaji kauli yake?

Kwenye miamala tuliambiwa amesikia kilio chetu lakini mpaka muda huu sio miamala imerudi kawaida wala sauti yake. Hii sio kawaida!

Mwanzoni vifurushi vilipanda bei akatokea fasta na ile kauli yake ilifanyiwa kazi ndani ya siku mbili vifurushi vikarudi kwenye bei ya awali.

Nikiwa raia wa Tanzania naomba rais aongee na taifa
Napingana na wewe! Akae kimya ila aongee kupitia Wasaidizi wake
 
Watu waliomba kukutana naye kwa nia njema hapo awali na akakubali, ila kwa sasa hakuna ulazima huo kama wanaomshauri hawataki. Ni kweli anaweza kuwaridhisha hao unaosema anataka atunyooshe, lakini yuko wapi kwa sasa, mbona makeke yanapungua? Hapo anatunyoosha au wote tunanyooka? Inaonekana yeye hana raha, wala sisi hatuna raha, wenye raha ni hao washauri wake maana anafanya wanavyotaka wao.
Mkuu tindo ,hakuna kitu kinachouma kama watu waliokuwa wakikuamini kupoteza imani yao kwako halafu na wewe ukajua wazi kuwa huaminiki tena. Aiseee inaumiza mno mno.
Kibinadamu, kuaminiwa na binadamu wenzako kunaleta furaha,faraja na amani ya kipekee.
Kibinadamu, kupotea kwa imani kwa binadamu waliyokuwa nayo awali juu yako,huleta mateso makubwa ajabu.
Hilo hupelekea watu kuanza kufanya matendo ya kulazimisha kurudisha imani tena.
 
Ni hivi majuzi tu alionekana akiwa na Waziri Mkuu wa Uingereza Tony Blair. Labda kuna majukumu mengi yanamtinga ikiwemo kuandaa mkeka wa Wakurugenzi wapya wa Halmashauri.

Aidha, tusisahau kumwombea kwa Mungu awe na afya njema na hekima itokayo juu, maana kazi ya urais si lelemama!

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
lakini kweli voo Raisi Samia tulikwisha mzoea haipiti wiki karusha vitu,ila naona ni mda, hivi ka na yeye akifa atarithi mwingine ?
 
Point of correction; Vifurushi vya muda wa maongezi/simu havikuwahi kurudi kwenye hali yake ya awali.
 
Ccm wanamvuruga sana huyu mama yote haya na mabadiliko yake baada ya siku 100 yalibadilishwa na kikao cha dharura au cha kikanuni cha ccm pale Dodoma baada ya hapo tu mama amebadilika kabisaaa sijui wamemfanya nn au wamemtisha nn
 
Ukweli ni kwamba, yanayoendelea kwenye hii nchi yanaumza.

Lakini kabla hatujatupa lawama kwa Amiri Jeshi mkuu lazima tujue kwanza alipo na tujue nini msimamo wake kwenye mambo yanayowafanya wananchi wake wanong'one chinichini kama makinda yasiyo na watoto.

Tangu tumepandishiwa miamala hatujamsikia ila tumemsikia waziri wake akitukejeli wananchi kwamba tuhamie Burundi.

Tangu kiongozi wa chama kikuu cha cha upinzani Mh. Mbowe alipokamatwa na kuhusishwa na ugaidi hatujasikia sauti ya rais wetu.

Kuna matamko mbalimbali ya viongozi wa uma kuhusu covid19 lakini hatujamsikia mama! Yuko wapi?

Je, tangu ameapishwa kuna wakati amewahi kupiga kimya namna hii ukizingatia kuna update ya matukio mbalimbali yanayohitaji kauli yake?

Kwenye miamala tuliambiwa amesikia kilio chetu lakini mpaka muda huu sio miamala imerudi kawaida wala sauti yake. Hii sio kawaida!

Mwanzoni vifurushi vilipanda bei akatokea fasta na ile kauli yake ilifanyiwa kazi ndani ya siku mbili vifurushi vikarudi kwenye bei ya awali.

Nikiwa raia wa Tanzania naomba rais aongee na taifa
Alipost twitter kifo cha Mngwhira reaction ya watu ilikuwa kali sana hasa tozo na Mbowe
 
Na tuambiwe pia hao viongozi Mbowe alioshiriki kuwaua ni kina nani na alikuwa akishirikiana na kina nani katika kuwaua.
Na hao viongozi waliokusudiwa kuuawa na mbowe wajitokeze,na je walifungua jalada polisi.
Wananchi tujue unafiki wa mbowe kujificha kwenye chama huku Gaidi,watu wanashindwa kunywa maji vikaoni kisa Mbowe.
 
jeshi na polisi ni sukuma gang wamemwambia tulia tufute upinzani.
Jeshi letu la polisi na jeshi la wananchi wa Tanzania hawana ukabila wala hawako tayari kupanda mbegu ya ukabila nchini.

Tatizo la ukabila ni la baadhi ya wanasiasa
 
Yani napata tabu sana.
Hajaonekana mida sasa
Na haikuwa kawaida yake. Alikuwa ni mtu wa watu, mtu wa ziara nyingi, mwenye kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua kwa wakati pale inapowezekana
 
Mnataka Rais awe anaongea ongea kila siku kama zwazwa? Nini maana ya kuwa na wasaidizi? Magu alikuwa anaongea kila siku na kila kitu kufanya mwenyewe mkamuita Meko, huyu anawaamini wasaidizi wake mnalalamika! Nyie jamaa mmeishiwa kabisa, mnabaki kupiga ramli na kuombea watu vifo
Lengo la kuuliza alipo ni kutokana na mambo ya ajabuajabu yanayoendelea kwenye nchi alafu yupo kimya ukizingatia tumezoea wiki haipiti bila kumsikia au akiwa kwenye ziara za ndani na nje ya nchi.

Kwanini wakati huu wa kauli mbovumbovu za wasaidizi wake ndipo awe kimya?
 
Style ya kuhutubia na kujibu jibu kila wakati ilikuwa ya mwendazake. Mama amerudi kwenye urais taasisi enzi za Marais kuonekana kwenye jambo zito.

Mbowe kukamatwa yupo Waziri wa mambo ya ndani na IGP. Tozo waziri yupo.
 
Back
Top Bottom