barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Mbowe anahusishwa na kutaka kuua viongozi wa serikali, baadhi ya bavicha humu wanadai mpira utarudishwa kati muda si mrefu, rais haonekani, tetesi kuwa jpm haikua natural death...
Mambo ni mengi kweli...atoke hadharani aonekane kwa kweli. Je anaumwa?
Mambo ni mengi kweli...atoke hadharani aonekane kwa kweli. Je anaumwa?