barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Ukweli ni kwamba, yanayoendelea kwenye hii nchi yanaumza.
Lakini kabla hatujatupa lawama kwa Amiri Jeshi mkuu lazima tujue kwanza alipo na tujue nini msimamo wake kwenye mambo yanayowafanya wananchi wake wanong'one chinichini kama makinda yasiyo na watoto.
Tangu tumepandishiwa miamala hatujamsikia ila tumemsikia waziri wake akitukejeli wananchi kwamba tuhamie Burundi.
Tangu kiongozi wa chama kikuu cha cha upinzani Mh. Mbowe alipokamatwa na kuhusishwa na ugaidi hatujasikia sauti ya rais wetu.
Kuna matamko mbalimbali ya viongozi wa uma kuhusu covid19 lakini hatujamsikia mama! Yuko wapi?
Je, tangu ameapishwa kuna wakati amewahi kupiga kimya namna hii ukizingatia kuna update ya matukio mbalimbali yanayohitaji kauli yake?
Kwenye miamala tuliambiwa amesikia kilio chetu lakini mpaka muda huu sio miamala imerudi kawaida wala sauti yake. Hii sio kawaida!
Mwanzoni vifurushi vilipanda bei akatokea fasta na ile kauli yake ilifanyiwa kazi ndani ya siku mbili vifurushi vikarudi kwenye bei ya awali.
Nikiwa raia wa Tanzania naomba rais aongee na taifa
Tutaitwa wabaguzi ila ndio ukweli, hii nchi haiko tayari kuogozwa na wanawake. Wako emotional zaidi. Mama mwoga wa kufanya maamuzi magumu kisa anaogopa umiza watu sababu ya usofti wa uanawake hawataki lawama.
Tayari ilishaonekana uongoz imemshindaTutaitwa wabaguzi ila ndio ukweli, hii nchi haiko tayari kuogozwa na wanawake. Wako emotional zaidi. Mama mwoga wa kufanya maamuzi magumu kisa anaogopa umiza watu sababu ya usofti wa uanawake hawataki lawama.
Napingana na wewe! Akae kimya ila aongee kupitia Wasaidizi wakeUkweli ni kwamba, yanayoendelea kwenye hii nchi yanaumza.
Lakini kabla hatujatupa lawama kwa Amiri Jeshi mkuu lazima tujue kwanza alipo na tujue nini msimamo wake kwenye mambo yanayowafanya wananchi wake wanong'one chinichini kama makinda yasiyo na watoto.
Tangu tumepandishiwa miamala hatujamsikia ila tumemsikia waziri wake akitukejeli wananchi kwamba tuhamie Burundi.
Tangu kiongozi wa chama kikuu cha cha upinzani Mh. Mbowe alipokamatwa na kuhusishwa na ugaidi hatujasikia sauti ya rais wetu.
Kuna matamko mbalimbali ya viongozi wa uma kuhusu covid19 lakini hatujamsikia mama! Yuko wapi?
Je, tangu ameapishwa kuna wakati amewahi kupiga kimya namna hii ukizingatia kuna update ya matukio mbalimbali yanayohitaji kauli yake?
Kwenye miamala tuliambiwa amesikia kilio chetu lakini mpaka muda huu sio miamala imerudi kawaida wala sauti yake. Hii sio kawaida!
Mwanzoni vifurushi vilipanda bei akatokea fasta na ile kauli yake ilifanyiwa kazi ndani ya siku mbili vifurushi vikarudi kwenye bei ya awali.
Nikiwa raia wa Tanzania naomba rais aongee na taifa
Mkuu tindo ,hakuna kitu kinachouma kama watu waliokuwa wakikuamini kupoteza imani yao kwako halafu na wewe ukajua wazi kuwa huaminiki tena. Aiseee inaumiza mno mno.Watu waliomba kukutana naye kwa nia njema hapo awali na akakubali, ila kwa sasa hakuna ulazima huo kama wanaomshauri hawataki. Ni kweli anaweza kuwaridhisha hao unaosema anataka atunyooshe, lakini yuko wapi kwa sasa, mbona makeke yanapungua? Hapo anatunyoosha au wote tunanyooka? Inaonekana yeye hana raha, wala sisi hatuna raha, wenye raha ni hao washauri wake maana anafanya wanavyotaka wao.
Alipost twitter kifo cha Mngwhira reaction ya watu ilikuwa kali sana hasa tozo na MboweUkweli ni kwamba, yanayoendelea kwenye hii nchi yanaumza.
Lakini kabla hatujatupa lawama kwa Amiri Jeshi mkuu lazima tujue kwanza alipo na tujue nini msimamo wake kwenye mambo yanayowafanya wananchi wake wanong'one chinichini kama makinda yasiyo na watoto.
Tangu tumepandishiwa miamala hatujamsikia ila tumemsikia waziri wake akitukejeli wananchi kwamba tuhamie Burundi.
Tangu kiongozi wa chama kikuu cha cha upinzani Mh. Mbowe alipokamatwa na kuhusishwa na ugaidi hatujasikia sauti ya rais wetu.
Kuna matamko mbalimbali ya viongozi wa uma kuhusu covid19 lakini hatujamsikia mama! Yuko wapi?
Je, tangu ameapishwa kuna wakati amewahi kupiga kimya namna hii ukizingatia kuna update ya matukio mbalimbali yanayohitaji kauli yake?
Kwenye miamala tuliambiwa amesikia kilio chetu lakini mpaka muda huu sio miamala imerudi kawaida wala sauti yake. Hii sio kawaida!
Mwanzoni vifurushi vilipanda bei akatokea fasta na ile kauli yake ilifanyiwa kazi ndani ya siku mbili vifurushi vikarudi kwenye bei ya awali.
Nikiwa raia wa Tanzania naomba rais aongee na taifa
Na hao viongozi waliokusudiwa kuuawa na mbowe wajitokeze,na je walifungua jalada polisi.Na tuambiwe pia hao viongozi Mbowe alioshiriki kuwaua ni kina nani na alikuwa akishirikiana na kina nani katika kuwaua.
Jeshi letu la polisi na jeshi la wananchi wa Tanzania hawana ukabila wala hawako tayari kupanda mbegu ya ukabila nchini.jeshi na polisi ni sukuma gang wamemwambia tulia tufute upinzani.
Lengo la kuuliza alipo ni kutokana na mambo ya ajabuajabu yanayoendelea kwenye nchi alafu yupo kimya ukizingatia tumezoea wiki haipiti bila kumsikia au akiwa kwenye ziara za ndani na nje ya nchi.Mnataka Rais awe anaongea ongea kila siku kama zwazwa? Nini maana ya kuwa na wasaidizi? Magu alikuwa anaongea kila siku na kila kitu kufanya mwenyewe mkamuita Meko, huyu anawaamini wasaidizi wake mnalalamika! Nyie jamaa mmeishiwa kabisa, mnabaki kupiga ramli na kuombea watu vifo