Dah, nimemmis sana jama hasa kwenye sakata la Kafulila, jamaa kapotea sana lakini sina shaka kwamba HAYUKO INDIA, mwenye taarifa au mawasiliano naye tafadhali mumwambie japo atutakie heri ya mwaka MPYA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.