Yuda Iskariote kumsaliti Yesu, inamaanisha nini?

Yuda Iskariote kumsaliti Yesu, inamaanisha nini?

Mfilisiti

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2020
Posts
396
Reaction score
1,958
Amani ya Bwana na iwe nanyi nyote,
Wakuu tukiwa katika kipindi hiki cha sikukuu ya Pasaka kuna kitu kimenitafakarisha kuhusu Yuda Iskariote kumsaliti Yesu,
Naomba wabobezi wa maandiko mnijibu haya maswali:

1: (a)Je, wakuuu wa makuhani na Mafarisayo sura ya Yesu walikua hawaijui? hadi kumtumia Yuda Iskariote kama Msaliti?

(b) Na kama walikua wanamjua Yesu kulikua kuna ulazima gani kumpa fedha Yuda Iskariote?

(c) Yuda Iskariote yupo mbinguni au Kuzimu? na kama yupo kuzimu je kusudi la yeye kuumbwa si lilikua ni aje kumsaliti Yesu ili mapenzi ya Mungu yatimizwe? na kama mapenzi ya Mungu yametimizwa kwanini asiende mbinguni?

(d) Kwa hiyo maisha ya mwanadamu hapa duniani tayari yamepangwa kuwa wewe ni wa motoni au mbinguni?
 
Maandiko hayo ya biblia ni hadithi za kutungwa na kusadikika ndio maana unaona Contradictions kwenye Biblia hiyo.

Habari za uwepo wa Yesu ni stori za kusadikika sawa na Hekaya za Abunuwasi.

Yesu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
 
Maandiko hayo ya biblia ni hadithi za kutungwa na kusadikika ndio maana unaona Contradictions kwenye Biblia hiyo.

Habari za uwepo wa Yesu ni stori za kusadikika sawa na Hekaya za Abunuwasi.

Yesu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Ngoja tusubiri wabobezi wanasemaje
 
Maswali mazur sana sababu hata yesu alijua kua yuda atamsaliti. Sasa kama alijua na akaacha litokee ili maandiko yatimie bas yuda anatakiwa awepo mbinguni sababu baada ya kusaliti alijutia hata akajinyonga hii inaonyesha alitumika tu katika hilo
Kuna vitu vinatafakarisha sana
 
Amani ya Bwana na iwe nanyi nyote,
Wakuu tukiwa katika kipindi hiki cha sikukuu ya Pasaka kuna kitu kimenitafakarisha kuhusu Yuda Iskariote kumsaliti Yesu,
Naomba wabobezi wa maandiko mnijibu haya maswali:

1: (a)Je, wakuuu wa makuhani na Mafarisayo sura ya Yesu walikua hawaijui? hadi kumtumia Yuda Iskariote kama Msaliti?

(b) Na kama walikua wanamjua Yesu kulikua kuna ulazima gani kumpa fedha Yuda Iskariote?

(c) Yuda Iskariote yupo mbinguni au Kuzimu? na kama yupo kuzimu je kusudi la yeye kuumbwa si lilikua ni aje kumsaliti Yesu ili mapenzi ya Mungu yatimizwe? na kama mapenzi ya Mungu yametimizwa kwanini asiende mbinguni?

(d) Kwa hiyo maisha ya mwanadamu hapa duniani tayari yamepangwa kuwa wewe ni wa motoni au mbinguni?
mi nakujibu swali la tatu.
Yuda atakuwa kaburini akisubiri hukumu kama wengine. Suala la mtu kwenda mbinguni au motoni wakati wa hukumu, hilo ni la Mungu. tumeambiwa tusihukumu.

Mathayo 7:1 NEN​

“Usihukumu ili usije ukahukumiwa.

wafu wapo makaburi wanasubiri ufufuo, with exceptional ya watu wachache akina Eilya, Musa Na Enock)
Wengine wanasubiri parapanda iwatoe makaburi( kwa wale wenye walikufa katika Kristo, waovu watasubiri hadi baada ya miaka 1000)

1 Kor 15:51-53 SUV​

Angalieni, nawaambia ninyi siri; hatutalala sote, lakini sote tutabadilika, kwa dakika moja, kufumba na kufumbua, wakati wa parapanda ya mwisho; maana parapanda italia, na wafu watafufuliwa, wasiwe na uharibifu, nasi tutabadilika. Maana sharti huu uharibikao uvae kutokuharibika, nao huu wa kufa uvae kutokufa.

Kama wafu wanaenda motoni au mbinguni ni nani hawa wakaofuliwa parapanda itakapolia
 
mi nakujibu swali la tatu.
Yuda atakuwa kaburini akisubiri hukumu kama wengine. Suala la mtu kwenda mbinguni au motoni wakati wa hukumu, hilo ni la Mungu. tumeambiwa tusihukumu.

Mathayo 7:1 NEN​

“Usihukumu ili usije ukahukumiwa.

wafu wapo makaburi wanasubiri ufufuo, with exceptional ya watu wachache akina Eilya, Musa Na Enock)
Wengine wanasubiri parapanda iwatoe makaburi( kwa wale wenye walikufa katika Kristo, waovu watasubiri hadi baada ya miaka 1000)

1 Kor 15:51-53 SUV​

Angalieni, nawaambia ninyi siri; hatutalala sote, lakini sote tutabadilika, kwa dakika moja, kufumba na kufumbua, wakati wa parapanda ya mwisho; maana parapanda italia, na wafu watafufuliwa, wasiwe na uharibifu, nasi tutabadilika. Maana sharti huu uharibikao uvae kutokuharibika, nao huu wa kufa uvae kutokufa.

Kama wafu wanaenda motoni au mbinguni ni nani hawa wakaofuliwa parapanda itakapolia
Hoja ipo hivi, ukifa now unaenda paradiso au kuzimu kama sijakosea huku ukisubiri hiyo hukumu.
 
Maswali mazur sana sababu hata yesu alijua kua yuda atamsaliti. Sasa kama alijua na akaacha litokee ili maandiko yatimie bas yuda anatakiwa awepo mbinguni sababu baada ya kusaliti alijutia hata akajinyonga hii inaonyesha alitumika tu katika hilo
Nje na tendo lililoandaliwa na mungu kuwa atamsaliti yesu yuda hakufanya dhambi zingne?
 
Maandiko hayo ya biblia ni hadithi za kutungwa na kusadikika ndio maana unaona Contradictions kwenye Biblia hiyo.

Habari za uwepo wa Yesu ni stori za kusadikika sawa na Hekaya za Abunuwasi.

Yesu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Kitabu kipi sasa cha kweli?
Kile tunacho ambiwa kilishushwa toka juu na vp mudi alikiandikia huko juu akaprint akashusha ama!
 
Hilo ndilo swali la maana na jibu ndio lifuatalo: nje na kuandaliwa kumsaliti yesu,yuda alikuwa ana maisha yake binafsi. Ikiwa yuda alitenda mema ktk maisha hayo basi atakuwa peponi na ikiwa alitenda dhambi basi atakuwa motoni.... Mwenye kuelewa na aelewe
 
Hilo ndilo swali la maana na jibu ndio lifuatalo: nje na kuandaliwa kumsaliti yesu,yuda alikuwa ana maisha yake binafsi. Ikiwa yuda alitenda mema ktk maisha hayo basi atakuwa peponi na ikiwa alitenda dhambi basi atakuwa motoni.... Mwenye kuelewa na aelewe
Haya mambo ni very complex sana
 
Back
Top Bottom