Yuda Iskariote kumsaliti Yesu, inamaanisha nini?

Ubinafsi na tamaa za maendeleo ya haraka
 

Attachments

  • VID-20240330-WA0004.mp4
    15.8 MB
Bro Sisi ni roho zilizokuwapo kabla ya kuja kwenye mwili. Na usisahau shetan alivyomjia Hawa pale bustanini na kuongea nae. Ziliingia roho mbili ndan yake. So hii dunia ina pande mbili. Upande wa giza na nuru. Kuna watu wamebeba roho ya kaini mpaka leo na kuna watu wamebeba roho ya abeli. Ndio maana bible inawaita hawa ni wateule na wengine wana wa uovu. Na kwataarifa yako kila roho inajua eneo lake ndio maana Yesu alikuwa anawaambia timizen kipimo cha Baba zenu. Ukiona mtu ni jambaz ni mchawi na mdhulumaji japo unaongea nae kila siku na hajali anaendelea na uovu wake na kufa nao ujue anatimiza kipimo cha baba yao. Lakin akitubu na kuacha kabisa ujue ile roho ya uzima ndio imemfungua na ndio wakat wake kurud mahali pake. Hiz Mambo kuzijua inabid usome vitabu sana na umuombe Mungu sana kuna siri nyingi sana bado hatuzijui na inawezekana tusizijue milele. Kwa mfano ni kitabu cha ufunuo kinatuambia mbinguni kuna wazee wenye mavaz meupe au kuna wenye uhai wanne. Hizo Mambo binadamu hatukuzifunuliwa kuzijua b4. So Mungu anawafungulia awapendae kwa jins atakavyo yeye.
 
Fazaaa

Uzi wa VAR mbona huuendelezi?
 
Yule wa uarabuni vipi yupo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…