Yuko wapi Adam Mchomvu?

Halafu hii tabia ya mtu kupigwa na mwanaume mwenzio hii imekaaje, unashindwa kuokota hata mawe,

1.Mbasha alipigwa mtama na huyu jamaa

2.Q chief naye ..........

Hawa wanaopigwa wapunguze uboya

Anawapiga wanawake wenzie, siku akiyakanyaga kwa mwanaume dentist atahusika.
 
Halafu hii tabia ya mtu kupigwa na mwanaume mwenzio hii imekaaje, unashindwa kuokota hata mawe,

1.Mbasha alipigwa mtama na huyu jamaa

2.Q chief naye ..........

Hawa wanaopigwa wapunguze uboya

Haha sometimes anae kupiga is physicaly superior na wana tactical advantage so unakuwa mdogo tu. Kama angepiga mawe kesi angefungua wapi?

Wengine wanakutega uwapige wakubane kwenye kesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…