Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,231
- 2,904
HahaaAshatombeka sana na kujichokea sasa hivi..
Dogo ujamboDuh mi 2006 nilikuwa na miaka 5
Next time, greet before before you comment anything here....🤨Duh mi 2006 nilikuwa na miaka 5
mnisamehe wakubwa,shikamooniNext time, greet before before you comment anything here....🤨
Nilikuwa form fourDuh mi 2006 nilikuwa na miaka 5
Kuna mmoja namuona facebook, kama ni huyo kachoka sana.yupo,lulu mathias wa Tanga
kila aina ndege kwenye kiwanja chake kimeingia na kutua kasoro airbus new model ya za mwaka juzi zilizoagizwa na hayatiAshatombeka sana na kujichokea sasa hivi..
duh! Watu mmekula chumvi hum balaa,heshima kwenuNilikuwa form four
Jamii forum ina watoto wengi sanaDuh mi 2006 nilikuwa na miaka 5
Kwani kahaba sio mtu?Such is LifeKuna mmoja namuona facebook, kama ni huyo kachoka sana.
Design kama amekuwa kahaba
haturuhusiwi kuwepo hum?
yupo,lulu mathias wa Tanga
Wakuu Salaam,
Nisiwapotezee muda, miaka ya nyuma kulikuwa na shindano la wadada lililodhaminiwa na Twanga Pepeta na Manywele Entertainment.
Sikumbuki lilifanyika mara ngapi lakini mwaka 2006 kuna dada alifahamika kama Anti Lulu ndiye aliibuka kidedea wa taji la Kimwana Manywele wa Twanga akakabidhiwa zawadi ya gari.
Yuko wapi? Kale kaumaarufu kalimsaidia chochote? Ana hali gani kwa sasa?
Nawasilisha.