Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
AmenKwa lugha ya aliyekuwa Malkia wa uingereza..
BONNY is one of the best MAYORS we had by then.
Ukubali usikubali shauri yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmenKwa lugha ya aliyekuwa Malkia wa uingereza..
BONNY is one of the best MAYORS we had by then.
Ukubali usikubali shauri yako.
Imebaki Stori !Dikteta aliharibu sn nchi
Lakini alituumiza snImebaki Stori !
Hujui kitu wewe nyamaza !"..kukaundwa zengwe ili kuigawanya Halmashauri hiyo"
👆👆
Mwaka 2017, Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni ilikuwa na vigezo vyote vya kisheria kugawanywa na kupata Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.
Na mpaka sasa, Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni inaelekea kugawanywa tena.
Hakuna mizengwe! Siyo kila kitu mnaweka siasa.
Mambo mengine ni ya kitaalamu na yapo mbali na upeo wa wenye fikra duni!
Unashupaza fuvu bureHujui kitu wewe nyamaza !
Kinondoni?Labda kwa kukusaidia Boniface Jackob ndio Meya bora kuwahi kuwepo Kinondoni tangu kuundwa kwa Halmashauri hiyo
Umezaliwa lini ?Kinondoni?
Salum Londa Ndiye Meya bora kuwahi kutokea KinondoniUmezaliwa lini ?
Mkuu una tatizo na yeye kuwa rough na midevu yake? Kauliziwa Mayor Sitta lakini wewe tangu comment ya kwanza umekazania hapo tu.For sure mjamaa anaweza kua the best kwenye angle tofauti,
mathalani to me he was the best rough mayor ever in Tz na midevu yake...
Ukatae ukubali shauri yako.....
Ana yard kuuz magari mikocheni.Ni swali tu jamani , huyu jamaa alikuwa Meya wa Kinondoni , ni mtoto wa Samuel Sitta aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania .
Baada ya ccm kuangukia pua 2015 , kwenye Halmashauri ya Kinondoni na UKAWA kutwaa madaraka , kukaundwa zengwe ili kuigawanya Halmashauri hiyo huku wakichomekwa wabunge wa ikulu ili kuongeza kura za ccm , na hatimaye mtoto wa Sitta akapachikwa kwenye umeya kwa mbeleko ya chuma , chini ya mtutu wa bunduki .
Vyeo vya kubebwa huwa havina maisha , mbeleko ikichanika ni lazima utachoropoka na kuangukia makalio uvunje kiuno
Sasa sijui leo yuko wapi huyu jamaa yaani ?
mbaya iko nin mimi kujua midevu aliko na ndicho nilitaka kujua mie NyamiziMkuu una tatizo na yeye kuwa rough na midevu yake? Kauliziwa Mayor Sitta lakini wewe tangu comment ya kwanza umekazania hapo tu.
Londa Meya pekee Duniani ambaye alikuwa hajui kusoma na kuandikaSalum Londa Ndiye Meya bora kuwahi kutokea Kinondoni
Huyo muuza Mayai alitupwa porini Kule nako kukamshinda Kinondoni aliingia kimakosa ya kimkakati 🐼