The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Huyu alikua mwalimu wa shule ya msingi na bi Salma, ni miongoni mwa waliobebwa na bi Salma enzi za milki yao...Huyu mama alitamba sana siku za jk katika ulingo wa siasa lakini kwa sasa sijamsikia popote kwa kuwa mama anawakumbuka sana wanawake, anaweza kumkumbuka na huyu.
Nakumbuka mara ya mwisho kumsikia alikuwa mkuu wa mkoa wa tanga yaani alikuwa anapiga simu redioni kuingilia mijadala.
Amezeeka now!Huyu mama alitamba sana siku za jk katika ulingo wa siasa lakini kwa sasa sijamsikia popote kwa kuwa mama anawakumbuka sana wanawake, anaweza kumkumbuka na huyu.
Nakumbuka mara ya mwisho kumsikia alikuwa mkuu wa mkoa wa tanga yaani alikuwa anapiga simu redioni kuingilia mijadala.
Kama alikuwa hapatani na Samia, hutamsikia kamwe.Huyu mama alitamba sana siku za jk katika ulingo wa siasa lakini kwa sasa sijamsikia popote kwa kuwa mama anawakumbuka sana wanawake, anaweza kumkumbuka na huyu.
Nakumbuka mara ya mwisho kumsikia alikuwa mkuu wa mkoa wa tanga yaani alikuwa anapiga simu redioni kuingilia mijadala.
Hatari snHuyu Maza ni mweupe kweli kichwani! Majibu yake kipindi akiwa Naibu Waziri wa Elimu,na pia alikua mkuu wa Mkoa wa Lindi,Pwani na Tanga kama sijakosea!
Hata mama yake riz1 nae kapotea kwenye gemu, Captain mstaafu.Huyu mama alitamba sana siku za jk katika ulingo wa siasa lakini kwa sasa sijamsikia popote kwa kuwa mama anawakumbuka sana wanawake, anaweza kumkumbuka na huyu.
Nakumbuka mara ya mwisho kumsikia alikuwa mkuu wa mkoa wa tanga yaani alikuwa anapiga simu redioni kuingilia mijadala.
Kama akina Batilda Burian wamerudi hata huyu atarudi. Kuna waliokalia siti za watu na wanajijua (refer Job speech)Huyu mama alitamba sana siku za jk katika ulingo wa siasa lakini kwa sasa sijamsikia popote kwa kuwa mama anawakumbuka sana wanawake, anaweza kumkumbuka na huyu.
Nakumbuka mara ya mwisho kumsikia alikuwa mkuu wa mkoa wa tanga yaani alikuwa anapiga simu redioni kuingilia mijadala.
Sio kwelHuyu alikua mwalimu wa shule ya msingi na bi Salma, ni miongoni mwa waliobebwa na bi Salma enzi za milki yao...
Milki ilipokwisha akapotea na kuja kuibukia skauti... ni mbilikimo kama Ndugai.
OsieNilimuona pale Dodoma miezi kadhaa iliyopita kwenye benki ya NMB tawi la Bunge (Kwa Waheshimiwa)!
Ni mama wa kawaida sana na asiye na makuu! Sijui ni kwa sababu hana cheo kikubwa nchini kwa sasa! Maana alitusalimia wateja wachache alio tukuta pale benki kwa unyenyekevu mkubwa kiasi cha mimi mkulima wa ngogwe kutoka Lushoto, kushikwa na mshangao!
Na Mwantumu Malale nae sijui yuko wapi?, hawa walitamba sana enzi hizo!Huyu mama alitamba sana siku za jk katika ulingo wa siasa lakini kwa sasa sijamsikia popote kwa kuwa mama anawakumbuka sana wanawake, anaweza kumkumbuka na huyu.
Nakumbuka mara ya mwisho kumsikia alikuwa mkuu wa mkoa wa tanga yaani alikuwa anapiga simu redioni kuingilia mijadala.
Yupo kwao handeni,pia ni mkuu wa maskautiHuyu mama alitamba sana siku za jk katika ulingo wa siasa lakini kwa sasa sijamsikia popote kwa kuwa mama anawakumbuka sana wanawake, anaweza kumkumbuka na huyu.
Nakumbuka mara ya mwisho kumsikia alikuwa mkuu wa mkoa wa tanga yaani alikuwa anapiga simu redioni kuingilia mijadala.
Yupo msikilize hapa, nilikuwa naye mahali...Huyu mama alitamba sana siku za jk katika ulingo wa siasa lakini kwa sasa sijamsikia popote kwa kuwa mama anawakumbuka sana wanawake, anaweza kumkumbuka na huyu.
Nakumbuka mara ya mwisho kumsikia alikuwa mkuu wa mkoa wa tanga yaani alikuwa anapiga simu redioni kuingilia mijadala.
Duuh! Bado mbichi kabisa. Pascal Mayalla umekata mzizi wa uzushi.Yupo msikilize hapa, nilikuwa naye mahali...
P
Watu wana fitna sanaDuuh! Bado mbichi kabisa. Pascal Mayalla umekata mzizi wa uzushi.
Watu washaanza kusema ooh mama Mwantumu kazeeka anatembelea mkongojo.
Kumbe bado mbichi utadhani kamaliza la saba juzi.
Pasco unatembea na vyombo vyakoYupo msikilize hapa, nilikuwa naye mahali...
P
Atarudi n.a. sio huyo tu ni wengi chama kimerudiHuyu mama alitamba sana siku za jk katika ulingo wa siasa lakini kwa sasa sijamsikia popote kwa kuwa mama anawakumbuka sana wanawake, anaweza kumkumbuka na huyu.
Nakumbuka mara ya mwisho kumsikia alikuwa mkuu wa mkoa wa tanga yaani alikuwa anapiga simu redioni kuingilia mijadala.
Alikua mkuu wa mkoa wa pwani. Ndio kaharibu mji wa Kibaha. Daladala zinalazimishwa kupitia Loliondo kusiko kua na abiria Wala mvuto.Huyu mama alitamba sana siku za jk katika ulingo wa siasa lakini kwa sasa sijamsikia popote kwa kuwa mama anawakumbuka sana wanawake, anaweza kumkumbuka na huyu.
Nakumbuka mara ya mwisho kumsikia alikuwa mkuu wa mkoa wa tanga yaani alikuwa anapiga simu redioni kuingilia mijadala.