Yuko wapi DC wetu na celebrity huyu?

Wananchi wa Temeke wanamuweka bize sana tofauti na kule maporini kisarawe.

Yupo na anapiga kazi zama zimebadilika hakuna haja tena ya kutembea na makamera..ni mwendo wa kulamba asali kimya kimya.

#MaendeleoHayanaChama
 
kwahiyo zama za
Wananchi wa temeke wanamuweka bize sana tofauti na kule maporini kisarawe.

Yupo na anapiga kazi zama zimebadilika hakuna haja tena ya kutembea na makamera..ni mwendo wa kulamba asali kimya kimya.

#MaendeleoHayanaChama
camera zimeisha?
 
Nje ya mada:
Wakulugwa wanasema ukiona mwnamke ameacha kupost picha mpya mtandaoni au anapost za zamani ujue ana mimba.
wengine wanaugua mkuu,,

huenda kile kispot uson kaenda kukikarabat..


swala lako wana temeke watalijibu hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…