Yuko wapi DC wetu na celebrity huyu?

Yuko wapi DC wetu na celebrity huyu?

View attachment 2265891
huyu cerebrty mara ya mwisho kupost ni may 9 2022 ...
followers wake tulishazoea kupata habari motomoto hasahasa tangu apatw u DC,,, ila hivi sasa ukimya wake ndani ya mwezi bila post kunani?
Umaarufu wake 'ulinogeshwa' zaidi na aliyekuwa 'akimbaioloji' ambaye kwa bahati mbaya sana hivi sasa hatunae tena!!!
 
Kama 90% ya kilichoandikwa kwenye comments za wanazengo Ni kweli..niseme tu hongera kwake ..
kilichobaki ajitokeze tuone tumbo tumpe hongera zake nyingi kule post ya mwisho may 9 kapost mama yake kambeba kidot enz hizo mtoto sana sasa sijui ndo kiashiria na yey anakwenda kuwa mama😂😂

ila huu umbea cocastic anauwezea vizuri si wengine tunaiga tu.
 
kuna vijineno vingi mtaani inasemekana hivo kuwa nyota ilingaa ila alieingarisha alipozima ikazima taratibu na kwamba hivi sasa anaelekea alikotoka mdogomdogo.
Kuna Mwamba Mmoja ( mwenye Pesa zake nyingi na za Urithi wa Kwao ) mitaa ya Msasani ile ya 'Ushuani' anae sana tu.
 
kama ni mama k ngoja tusubiri mtoto sura ya nani 😂😂😂
Bibie 'Disiii' huwa anaenda mwenyewe kwa 'Mwamba' huyo ambaye anaishi Msela katika Ghorofa Mitaa hiyo ya Msasani.
 
Bibie 'Disiii' huwa anaenda mwenyewe kwa 'Mwamba' huyo ambaye anaishi Msela katika Ghorofa Mitaa hiyo ya Msasani.
kwahiyo mwamba ye anafatwaaa tuu,,,,, daaah pesa kitu kingine😂

ila ndo naunga dot hapa kuwa aliengarisha nyota kaenda nayo na sasa anarudi mdogomdogi alikotoka,, sasa anamfata mwamba na sio anafatwa yeye daah,,. huyo akimchoka atadandia kwingine mdogomdogo hadi atajikuta anarudi kwa EX.
 
kwahiyo mwamba ye anafatwaaa tuu,,,,, daaah pesa kitu kingine😂

ila ndo naunga dot hapa kuwa aliengarisha nyota kaenda nayo na sasa anarudi mdogomdogi alikotoka,, sasa anamfata mwamba na sio anafatwa yeye daah,,. huyo akimchoka atadandia kwingine mdogomdogo hadi atajikuta anarudi kwa EX.
Kwa taarifa tokea hata 'Mwamba' akiwa Hai bado Msela huyu ( huyo ) wa Msasani alikuwa anamtindua Disii Kipele wenu.
 
Nje ya mada:
Wakulugwa wanasema ukiona mwnamke ameacha kupost picha mpya mtandaoni au anapost za zamani ujue ana mimba.
Chaaaaa

Utakuwa mchawi siyo bure maana siyo kwa za ndani hizi😄😄😄😄😄😄😄
 
Back
Top Bottom