Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umaarufu wake 'ulinogeshwa' zaidi na aliyekuwa 'akimbaioloji' ambaye kwa bahati mbaya sana hivi sasa hatunae tena!!!View attachment 2265891
huyu cerebrty mara ya mwisho kupost ni may 9 2022 ...
followers wake tulishazoea kupata habari motomoto hasahasa tangu apatw u DC,,, ila hivi sasa ukimya wake ndani ya mwezi bila post kunani?
kilichobaki ajitokeze tuone tumbo tumpe hongera zake nyingi kule post ya mwisho may 9 kapost mama yake kambeba kidot enz hizo mtoto sana sasa sijui ndo kiashiria na yey anakwenda kuwa mama😂😂Kama 90% ya kilichoandikwa kwenye comments za wanazengo Ni kweli..niseme tu hongera kwake ..
kuna vijineno vingi mtaani inasemekana hivo kuwa nyota ilingaa ila alieingarisha alipozima ikazima taratibu na kwamba hivi sasa anaelekea alikotoka mdogomdogo.Umaarufu wake 'ulinogeshwa' zaidi na aliyekuwa 'akimbaioloji' ambaye kwa bahati mbaya sana hivi sasa hatunae tena!!!
Kuna Mwamba Mmoja ( mwenye Pesa zake nyingi na za Urithi wa Kwao ) mitaa ya Msasani ile ya 'Ushuani' anae sana tu.kuna vijineno vingi mtaani inasemekana hivo kuwa nyota ilingaa ila alieingarisha alipozima ikazima taratibu na kwamba hivi sasa anaelekea alikotoka mdogomdogo.
Bibie 'Disiii' huwa anaenda mwenyewe kwa 'Mwamba' huyo ambaye anaishi Msela katika Ghorofa Mitaa hiyo ya Msasani.kama ni mama k ngoja tusubiri mtoto sura ya nani 😂😂😂
kwahiyo mwamba ye anafatwaaa tuu,,,,, daaah pesa kitu kingine😂Bibie 'Disiii' huwa anaenda mwenyewe kwa 'Mwamba' huyo ambaye anaishi Msela katika Ghorofa Mitaa hiyo ya Msasani.
Kwa taarifa tokea hata 'Mwamba' akiwa Hai bado Msela huyu ( huyo ) wa Msasani alikuwa anamtindua Disii Kipele wenu.kwahiyo mwamba ye anafatwaaa tuu,,,,, daaah pesa kitu kingine😂
ila ndo naunga dot hapa kuwa aliengarisha nyota kaenda nayo na sasa anarudi mdogomdogi alikotoka,, sasa anamfata mwamba na sio anafatwa yeye daah,,. huyo akimchoka atadandia kwingine mdogomdogo hadi atajikuta anarudi kwa EX.
JoJo nampenda ila kwa vunja naona Kama amebugi...hawa mabishoo wa kibongo wengi wao sio watulivu kwenye mahusianoMara nyingi hawa huwa hawabebwi na watu wa maana zaidi ya hawa walamba lips wa insta. Itakua ni vunja sio kwa kumuwish kule father's day
JoJo nampenda ila kwa vunja naona Kama amebugi...hawa mabishoo wa kibongo wengi wao sio watulivu kwenye mahusiano
Ni kweliIla yote kwa yote hongera sana Jojo, mtoto ni stage nyingine kabisa.
Siyo wa kwanza kuzaa nje ya ndoa, bwana, miye kwa hilo iwe jua au mvua namuungac mkono umri unatosha.Ni kweli
Ni kweli bestLabda shida yake ilikua mtoto tu si wajua saiv kila slay queen ana mtoto haijalishi baba kichwani zimo au hazimo wao wanachojali showoff za insta
ChaaaaaNje ya mada:
Wakulugwa wanasema ukiona mwnamke ameacha kupost picha mpya mtandaoni au anapost za zamani ujue ana mimba.
Hiyo ni mali ya ummaana hasbandi au mali ya mtu?