Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Kashamjaza si niliona akimuwish malovedavi demu akipewa mimba basi hujanja kwa jamaa kwishakwamba vunja kamsepesha mobeto aweke kambi kwa kidot😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kashamjaza si niliona akimuwish malovedavi demu akipewa mimba basi hujanja kwa jamaa kwishakwamba vunja kamsepesha mobeto aweke kambi kwa kidot😂😂
Situmii vinywaji😆onesha penye ukakasi wa kuteseka mkuu halafu agiza kinywaji uendelee kuteseka kusoma nyuzi na majukwaa yasioendana na wewe
Me too nipe break kidogo loh.kama ni mama k ngoja tusubiri mtoto sura ya nani 😂😂😂
cocastic umesikia, miye ntapata wapi yule, labda apite hapa stand kwa magu nipo natafuta abiria mkuu.hiyo break ntayokupa hakikisha unakuja na picha ya disss akiwa kazini leo😂😂😂
Ameshavuka hiyo stage.Morning sickness inamtesa
Stage nyingine? Mean?Ila yote kwa yote hongera sana Jojo, mtoto ni stage nyingine kabisa.
Kuwa mama, badala ya kuitwa J.... ataitwa mama juniors. Mfano tuu.Stage nyingine? Mean?
Mbona yupo, hata juzi siku ya baba duniani alimpost FredHusband wake kamchimba mkwala asipost ndio maana hapost
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niwacheee nilikua bizze na baba tamu angu, si unajua j2 ilikua siku yao, weraaaaaah weraaaaah.Umeona anatukausha uzazi tuu huku mxiiiiuuu zake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu jomoneeee lol.kilichobaki ajitokeze tuone tumbo tumpe hongera zake nyingi kule post ya mwisho may 9 kapost mama yake kambeba kidot enz hizo mtoto sana sasa sijui ndo kiashiria na yey anakwenda kuwa mama[emoji23][emoji23]
ila huu umbea cocastic anauwezea vizuri si wengine tunaiga tu.
[emoji1787]New single mother in town
Hope baba kijacho atakua muelewa na kutimiza lile jambo kubwa pale st peter
Mie nna furaha mnoo, mlongo wetu kuwa na ka baby, niandae baby kits mie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]JoJo nampenda ila kwa vunja naona Kama amebugi...hawa mabishoo wa kibongo wengi wao sio watulivu kwenye mahusiano