Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Siasa sio uadui.Kumbe huwa mnawamiss wana CCM !!
Wamemrudisha shule upya, hakujua kuwa hajuiAmekuwa kimya sana na wala hasikiki kabisa.
Alikuwa na mbwembwe na majivuno alipokuwa akijieleza wakati wa kura za maoni za Ccm lakini wanaCcm wenzake walimlambisha mchanga.
Where is he?
Ni mkuu wa chuoAmekuwa kimya sana na wala hasikiki kabisa.
Alikuwa na mbwembwe na majivuno alipokuwa akijieleza wakati wa kura za maoni za Ccm lakini wanaCcm wenzake walimlambisha mchanga.
Where is he?
Siyo amejiajiri? maana ndiyo wimbo wao wakiwa madarakaniWamemrudisha shule upya, hakujua kuwa hajui
Amekuwa kimya sana na wala hasikiki kabisa.
Alikuwa na mbwembwe na majivuno alipokuwa akijieleza wakati wa kura za maoni za Ccm lakini wanaCcm wenzake walimlambisha mchanga.
Where is he?
Wasio soma wamemnyima ajira Ba Mkwe..
Duniani wote tuko sawa😃😃😃
Mbona alienda kugombea ubunge na wanaCcm aliowatukana wakampiga chini? Si angebaki kufundisha?Unafikiri Kafulia au kachoka baada ya utumishi wa miaka na maka?
Unajua ni ana sifa za kuwa mkufunzi wa chuo kikuu na amefundisha sana tu. Si mtu aliyekosa fursa aisee!!
Anatafuta demu kwanzaAmekuwa kimya sana na wala hasikiki kabisa.
Alikuwa na mbwembwe na majivuno alipokuwa akijieleza wakati wa kura za maoni za Ccm lakini wanaCcm wenzake walimlambisha mchanga.
Where is he?
Namjua si mjui kala jeuri yake..Ajira ni ubunge tu?
Unamjua vizuri Mwakyembe na Uwekezaji wake kibiashara?
Sio sababu ya kudharau ambao hawajasomaDr. Mwakyembe ni msomi kwelikweli tena anaejielewa na mwenye tija kwa nchi.
Huko kwao ukilitaja jina la mwakyembe,utapokea kipigo Cha mbwa kokoDr. Mwakyembe ni msomi kwelikweli tena anaejielewa na mwenye tija kwa nchi.
Hahaha labda kulima mpunga, hawa waajiriwa na wanasiasa nje ya wizi ni weupe kabisaSiyo amejiajiri? maana ndiyo wimbo wao wakiwa madarakani
Hata mimi kitambo sijamsikia huyu mzee wa degree nne....Amekuwa kimya sana na wala hasikiki kabisa.
Alikuwa na mbwembwe na majivuno alipokuwa akijieleza wakati wa kura za maoni za Ccm lakini wanaCcm wenzake walimlambisha mchanga.
Where is he?