Yuko wapi Dkt. Harrison Mwakyembe Msomi aliyekuwa akiwazodoa wanaCCM ambao hawajaenda shule?

Ni mkuu wa chuo
Alijenga ghorofa lenye thamani ya one billion enzi za JK Bahari Beach halafu akawa anauitarais wa mioyo ya Watanzania wote fisadi ndugu Rais Edward Ngoyai Lowassa.

Life tu hili lisomi uchwara.
 
Hata mimi kitambo sijamsikia huyu mzee wa degree nne....
Halafu lilikuwa chawi. Kumbuka press conference ya Roma yani limekaa Benet na Roma kwa maelekezo ya Bashite huku likimkodolea macho makali Roma akiongea na waandishi ili Roma asiseme ukweli alivyotekwa.

Lijamaa libishi sijui lilisavaivu vipi ile sumu ambayo lilikuwa linatoka magadi
 
Ajira ni ubunge tu?

Unamjua vizuri Mwakyembe na Uwekezaji wake kibiashara?
Wasikudanganye mwamba ubunge ndio kila kitu kwao ndio maana huwa wako tiari kuua kuwanga kujeruhi na machukizo mengine wakati wa kampeni
 
Ajira ni ubunge tu?

Unamjua vizuri Mwakyembe na Uwekezaji wake kibiashara?
Biashara usimama kwa sababu ya mshahara sio wa kwanza yeye mpe miaka 5 nje ya mshahara ukapate jibu kama hizo bizness zinaendelea au la
 
Amekuwa kimya sana na wala hasikiki kabisa.

Alikuwa na mbwembwe na majivuno alipokuwa akijieleza wakati wa kura za maoni za Ccm lakini wanaCcm wenzake walimlambisha mchanga.

Where is he?
Mwakyembe alibugi kuwakandia darasa la saba wakati majority ya wajumbe walikuwa darasa la saba. Alijizika mwenyewe.
 
Na nywele pamoja na ngozi ya mwili vikanyonyoka.
 
Ile Albadir ya Stand Utd Kampuni inafanya kazi ukiwaangalia wote waliosomewa sasa wampotea
 
Amekuwa kimya sana na wala hasikiki kabisa.

Alikuwa na mbwembwe na majivuno alipokuwa akijieleza wakati wa kura za maoni za Ccm lakini wanaCcm wenzake walimlambisha mchanga.

Where is he?
Wahenga walisema kila zama na kitabu chake.zama zake zimepita
 
Jioni huwa ananyonga bile yake mitaa kunduchi
 
Sio sababu ya kudharau ambao hawajasoma
Waliogopa umande wana wivu sana.tatizo hamjiamini mbele ya waliosoma, kama umesoma ,umesoma tu na kama hujasoma utabaki wa kulaumu tu wakati wenzako wanawahi asubuhi kwenda shule,wengine mlikuwa mnaogopa umande, siku hizi hakuna umande kwa maana kuna barabara .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…