Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Huyu jamaa alikuwa ndiye mchoraji wa katuni maarufu ya baba ubaya kwenye Gazeti la Kiu kabla ya kuacha kazi na nafasi yake kuchukuliwa na mtu mwingine. Sijui kama hili gazeti bado lipo mtaani?
Alikuwa rafiki yake Sugu, na nakumbuka alitoa kibao mwanana kinachojulikana kama Kura yangu. Kilikuwa na ujumbe mzuri kweli na alimshirikisha sugu. Baada ya hapo safari yake ya kimziki nadhani iliishia hapo sikuwahi kumsikia tena
Mwenye taarifa zake aniambie tafadhali maana nimekumbuka mashairi safi kabisa ya wimbo wake wa kura yangu
Alikuwa rafiki yake Sugu, na nakumbuka alitoa kibao mwanana kinachojulikana kama Kura yangu. Kilikuwa na ujumbe mzuri kweli na alimshirikisha sugu. Baada ya hapo safari yake ya kimziki nadhani iliishia hapo sikuwahi kumsikia tena
Mwenye taarifa zake aniambie tafadhali maana nimekumbuka mashairi safi kabisa ya wimbo wake wa kura yangu