Wivu wa kike umekujaa,unalalamika kama vile unamfahamuDah inatia hamasa kuwa mwandishi wa habari za kampeni......nchi hii...... ndio maana ni kati ya mataifa masikini zaid duniani.......
Ni lini alikuwa mwandishi wa habari na lini alikuwa campain manager wa mgombea? how about the legacy?
Waandishi wengine wanajifunza nini? na hii ni kwa Devotha Minja na waandish wengine wote......
Makene hata ngome hakanyagi kuna nguli Abou Liongo kakamata line na hakuna uwezekano wa kuiachaTeh Teh Tumaini makene wewe uko kwenye kurugenzi ya ikulu kimvuli....
Hakuwa huru ulikuwa labda inatazama tv mbao yako chumbani, alikuwa kampuni binafsi ma alikuwaga mmoja wa watangazaji huru.nchi bado sana.. sasa mtu kama huyo hakuwa na uhuru wa kufanya kazi yake kwani alishabanwa asingeweza kuripoti tofauti na matakwa ya kina kinana, bulembo n.k
kufunga viatu [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Siku nikimuona Magu lazima nimsogelee ili nimfunge hata kamba za viatu,maana nimegundua nchi hii ukijua kujipendekeza umetoka.
Ni kweli mkuu, ni kama SPENSA LAMECK wa ITV alivyokuwa hayupo huru, alishabanwa asingeweza kuripot tofauti na matakwa ya kina mbowe, lowasa, nknchi bado sana.. sasa mtu kama huyo hakuwa na uhuru wa kufanya kazi yake kwani alishabanwa asingeweza kuripoti tofauti na matakwa ya kina kinana, bulembo n.k