Bibi hivi lile ombi langu hukuliona au? maana msimu wa kilimo umeshakaribia..huku mtaani namba zinasomeka kweli...Niliwahi kusema humuhumu JF, wengi "wanachukia kunipenda", wakikosa kuniona wanani miss kwa sana tu, nyie mnayakinisha hilo.
You hate to love me.
I love you all (Kwa sauti ya Magufuli).
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Niliwahi kusema humuhumu JF, wengi "wanachukia kunipenda", wakikosa kuniona wanani miss kwa sana tu, nyie mnayakinisha hilo.
You hate to love me.
I love you all (Kwa sauti ya Magufuli).
Bi faiza huwa unalima mazao gani?Hapana, kile kitoto chetu ki umri.
Bi faiza huwa unalima mazao gani?
naomba ushauri nina shamba lkn mpaka sasa hivi sijajua nilime nini?
ingawa msimu uliopita nililima alizeti na mahindi ya njano.Lkn alizeti sikupata niambulia kidogo mahindi.
Morogoro.Unalima wapi?
Wasalaam bibie FaizaFoxy popote pale ulipo.
Kwakweli mimi binafsi nimeu-miss (kama tunavyosema vijana wa kileo) mchango wako humu jamvini!
Siyo kawaida yako kuacha kuisifia serikali yako pendwa ya chama chako pendwa cha CCM ila kwa sasa mmh! Upo kimya sana bibie! Nini tatizo?
Najua unau-miss sana utawala wa rafiki na kaka yako kipenzi Dr. Jakaya Mrisho Kikwete lakini ndo hivyo tena, umeshapita! Kumbuka kuwa mtu akiwa anakimbiza sakafuni basi mwisho wa mbio zake ni ukingoni mwa sakafu!
Nitakuwa sina busara na hekima nisipo kupa pole kutokana na sekeseke lililoikumba sehemu yako kuu unayopata ugali wako na familia yako!
Jana nilipita maeneo ya Ilala na nikapokea taarifa kuwa nyumba zote za Ilala kuanzia kule Jangwani hadi karibu kabisa na zilipo nyumba za NHC karibu na Ilala Boma zinapigwa tingatinga! Hapa nikawaza tena kama mpendwa wangu huyu hatakuwa kapata janga la pili kweli?
Ninaipenda CCM [HASHTAG]#mbelekwambele[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Sinywi[/HASHTAG] sumu sijinyongi
[HASHTAG]#Acha[/HASHTAG] waisome namba
Ummy mbona dogo sana!!??NDIYE Ummy Mwalimu nini?
Afazali manake......hofu imetamalaki.🙁Asalaam Alaikum.
Ahsante kwa kuni miss. Nipo ingawa kasi imepungua kiasi.
Kwa wale wanaonisoma humu, wengi wao wanaelewa miezi hii huwa kasi yangu ya kuingia JF inapungua sana kwa sababu za ukulima. Moja kati ya kazi zangu nizipendazo ni shamba, na huu ni msimu wa kutayarisha mashamba basi nnakuwa busy kupita kiasi.
Nipo sana.
Mengine ntajibu baadae.
[HASHTAG]#HapaKaziTu[/HASHTAG]