Au unamfananisha na dada yake anaitwa Dina dah amepinda sana huyo dada kwa pombe za KinoKama teja au teja?
kuliwa ndogo au?Wanaolewa na wazungu wana kazi sana
yeah,dizain kama salama,natafuta sana wanawake wa dizaini ile,salam hakukaa tu anga zangu ningemuweka ndani..na hivi mi gangstaAlikuwa vizuri upstairs. The quality that I admire most kwa mwanamke.
.au ni mja mzito?
Wakitambo umepotea humu, au ID mupya mupya.????
Mara ya mwisho tulikutana Arusha alikuja kama Kiongozi wa Chama cha mpira wa Tenis.
Mkuu nipo sana kwa ID hii tu.Wakitambo umepotea humu, au ID mupya mupya.