Yuko wapi huyu muigizaji alikuwa fundi sana

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Huyu jamaa nakumbuka kipindi kile ITV alikuwa fundi Sana wa kuvaa uhusika aling'aa Sana na kina dokta cheni, sijui siku hizi yupo wapi na Kama ameachana na Mambo ya Sanaa maana hata kwenye movies hatumuoni
Anaejua atupe taarifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu hajasoma UD bana amemaliza mwaka 2013 chuo cha kumbukumbu ya mwalimu nyerere
Bachelor Degree in Politics and Management of Social Development

$ There's clear light at the end of the Tannel $

Sasa nilikuwa napishana nae sana miaka hiyo nikajuwa mwanafunzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…