Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio yeye - Simon SimalengaSi ndo anaitwa Simalenga,kama sikosei yuko clouds anakula shavu
Siku zote mimi nikadhani jamaa ni bonge la Malenga kumbe wala Si Malenga.SIMALENGA, fundi huyo
ni mtu mkubwa tu saizi pale clouds ila sio mtangazaji.
Wapo ,juzi walionekana wamepanda treni.
Anameremeta kama JOHN MNYIKA!Huyu jamaa nakumbuka kipindi kile ITV alikuwa fundi Sana wa kuvaa uhusika aling'aa Sana na kina dokta cheni, sijui siku hizi yupo wapi na Kama ameachana na Mambo ya Sanaa maana hata kwenye movies hatumuoni
Anaejua atupe taarifaView attachment 1065290View attachment 1065291
Sent using Jamii Forums mobile app
simalenga Simon, yuko Clouds, mtu na nyazifa yake, kuunganisha taasisi yao na taasisi za serikali, pia chamani huwa namuona piaHuyu jamaa nakumbuka kipindi kile ITV alikuwa fundi Sana wa kuvaa uhusika aling'aa Sana na kina dokta cheni, sijui siku hizi yupo wapi na Kama ameachana na Mambo ya Sanaa maana hata kwenye movies hatumuoni
Anaejua atupe taarifaView attachment 1065290View attachment 1065291
Sent using Jamii Forums mobile app
Noana Simalenga umeamua kuwa kumbusha watu kuwa uliwahi kuwa muigizajiHuyu jamaa nakumbuka kipindi kile ITV alikuwa fundi Sana wa kuvaa uhusika aling'aa Sana na kina dokta cheni, sijui siku hizi yupo wapi na Kama ameachana na Mambo ya Sanaa maana hata kwenye movies hatumuoni
Anaejua atupe taarifaView attachment 1065290View attachment 1065291
Sent using Jamii Forums mobile app
Yupo CloudsNi kati ya waigizaji ambao walikuwa hawana papara kwenye kuigiza na alikuwa akiigiza kwa hisia na uhalisia, ngoja tusubiri wajuzi waje watujuze alipo huyu Mr. Dimela
ᴱᵛᵉʳʸᵇᵒᵈʸ ˡᵒᵛᵉˢ ᵃ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ
Yaani unajitekenya halafu unacheka..kilichokukamatisha ni hizo picha Mkuu..mtu anaekutafuta hawezi kuwa na picha zako tena ziko clear hivyo. Haya bwana,raha jipe mwenyewe.
CCM huyo, ukute unataka kuweka nia 2020. Anatest kama bado anajulikana.
Kaweka nia ya ubunge kawe huko
.lkn ndio hivyo.kaangukia pua na sikio... na alikuwa anatumia vipicha hivyo hivyo alivyoweka humu kupima kama watu wanamjua!
Kaweka nia ya ubunge kawe huko
.lkn ndio hivyo.kaangukia pua na sikio... na alikuwa anatumia vipicha hivyo hivyo alivyoweka humu kupima kama watu wanamjua!