Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Basi we kaa kwa tuliaa tu utapewa mrejesho
Mmh mke wa mtu huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi we kaa kwa tuliaa tu utapewa mrejesho
Sasa mbona unajipa kazi ya unabii kwenda mbele ya wakati lakin?? Au hupendi kuona mdogo ako akiwa happy?? We mwache niyajenge nae suala la kua mke wa mtu hata sio shida maana siku hiz hakunaga single 😂Mmh mke wa mtu huyo
Halaf tunajifanya kama hatujuani kabisaa yan ! 😂😂😂Uzuri wanajeiefu wanajuana
Acha hizo mzeeJF ina mambo mengi sana,
Unaweza kukuta mleta mada ameamua kujitafuta kiaina.
Sasa mbona unajipa kazi ya unabii kwenda mbele ya wakati lakin?? Au hupendi kuona mdogo ako akiwa happy?? We mwache niyajenge nae suala la kua mke wa mtu hata sio shida maana siku hiz hakunaga single [emoji23]
Humu Kuna syndicate za hatarHalaf tunajifanya kama hatujuani kabisaa yan ! 😂😂😂
Hili si ni kosa la ban?...kutaja fulani na fulani ni ID moja 😅
Usimzibie riziki mdogo wako,mlango umemfungukia,punguza maswali na usubiri kadi ya mualiko tu.Mimi ni dada yake ebu niambie kwanza mnataka kuyajenga niniiii [emoji1787]Lamomy fanya ukuje
Mimi sijataja mtu bali nimemtag huyo rafiki yangu aje asome comment yako.Hili si ni kosa la ban?...kutaja fulani na fulani ni ID moja 😅
Kama nimekuelewa hivi🤣Ana ID nyingine,na huitaji kuwa smart sana kuijua
Usimzibie riziki mdogo wako,mlango umemfungukia,punguza maswali na usubiri kadi ya mualiko tu.
😎
Na mimi nakuheshimu pia,ni mmoja wa member ninao wakubali sana.Daaah [emoji1787][emoji1787] sawa The Ice na vile nakuheshimu
Mimi sijataja mtu bali nimemtag huyo rafiki yangu aje asome comment yako.
Kama nimekuelewa hivi🤣
Na mimi nakuheshimu pia,ni mmoja wa member ninao wakubali sana.