Wapi?? Ww una mapepo sio bure!!nakuona black flowers kale kapicha uliweka kule nilikabambaπ
chuchu dodo
Unavyocheka unaonekana ni uchochezi ujue [emoji23]
duh aiseeWapi?? Ww una mapepo sio bure!!
Punguza nyeto, mi niwe black flowers??
Hizo IDs zenu mnazofungua na kujaribu kuiga miandiko ya watu ili mfananie ndo inasababisha mnaitwa mashoga
π hebu samaraizi DKama yule dada alojufukuza alivyo na id nyingi
[emoji12] hebu samaraizi D
Unanikwaza ujue, huo ujinga wa rafiki ako wa Penseli ndo umesababisha mpk leo nimepoteza username yangu ya cute wifeduh aisee
yaishe mkuu kabla hayajaanzaUnanikwaza ujue, huo ujinga wa rafiki ako wa Penseli ndo umesababisha mpk leo nimepoteza username yangu ya cute wife
ππππ D hebu zitaje nikusaidie kuziunganisha..!! Ila jf hakuishiwi hekahekaMtu mmoja id 6 jamani
Kama yule dada alojufukuza alivyo na id nyingi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jf utabadili I'd ila kwenye muandiko tu lazima ukamatikeWatakuwa mapacha [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeandika nimelewaππππ D hebu zitaje nikusaidie kuziunganisha..!! Ila jf hakuishiwi hekaheka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yaani me sitaki kabisa ugomvi na bwana shemejiii
Kabisa uandishi utasema tyuu!! Hata uigize vipi? πππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jf utabadili I'd ila kwenye muandiko tu lazima ukamatike
πππ Walevi siku zote wanaongea ukweliNimeandika nimelewa
ππππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yaani me sitaki kabisa ugomvi na bwana shemejiii
Usisahau kunitag puliz!π hebu samaraizi D
Tag muhimu wambea hatunyimani ubuyu πππUsisahau kunitag puliz!
Mhm yule cute wife kumbe ndio wewe [emoji16][emoji4][emoji16] alafu kama vile yule cute wife nilianza kumpenda kumbe ndio ww[emoji2957][emoji12][emoji12]Unanikwaza ujue, huo ujinga wa rafiki ako wa Penseli ndo umesababisha mpk leo nimepoteza username yangu ya cute wife
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimekuja mara moja kutembeaWee umeibukia wapi ushatoka kisiwa cha marahaaaa