Bro fanya utafiti kwanza kabla hujatoa upupu,tozo zina mpango wake na huo mkopo una mpango wake na vyote vilipita bungeni
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Mkuu ,ukishaanzwa kupandwa mgngoni huwezi kuachq maisha yako yote!Kwa inavyoonekana...
Taarifa ya kujiuzulu kwa Job Ndugai ilishaandaliwa mapema na watawala na viongozi wake ndani ya ccm. Maoni yake juu ya mikopo na tozo yametumika tu kama ngazi kurahisisha mchakato!
Kama unabisha basi ikague tu ile barua utagundua kuwa haikutoka kwa Job Ndugai yule aliyekuwa Spika wa Bunge la JMT.
Kwa nyongeza zaidi; hata kauli yake wakati anaomba radhi kwa SSH ina viashiria kuwa alikuwa kwenye shinikizo kubwa!
Job Ndugai ametangulizwa tu mbele... Kuna wengi wanafuata nyuma yake!
Watajuzulu wenyewe au watajiuzulishwa kama ilivyotokea kwa Job Ndugai!
NB: Vijana mnaotumika leo kupandwa migongoni. Kuweni makini sana na wanaowapanda! Haijalishi ni rais ama ni nani!
Umenikumbusha ulakaNipo kibaruani navuna korosho.
View attachment 2073425
Mkumbuke Mr . Supika sio walimu wa darasa la uongozi, hivyo Hana kelele.Inaonekana kuna motive behind ya kujiuzulu kwake, hasa ikizingatiwa TISS na CCM hufanya kazi kwa pamoja, na ukimya wa Ndugai unazidi kuacha maswali mengi.
Naona kama unateseka sanaKwa inavyoonekana...
Taarifa ya kujiuzulu kwa Job Ndugai ilishaandaliwa mapema na watawala na viongozi wake ndani ya ccm. Maoni yake juu ya mikopo na tozo yametumika tu kama ngazi kurahisisha mchakato!
Kama unabisha basi ikague tu ile barua utagundua kuwa haikutoka kwa Job Ndugai yule aliyekuwa Spika wa Bunge la JMT.
Kwa nyongeza zaidi; hata kauli yake wakati anaomba radhi kwa SSH ina viashiria kuwa alikuwa kwenye shinikizo kubwa!
Job Ndugai ametangulizwa tu mbele... Kuna wengi wanafuata nyuma yake!
Watajuzulu wenyewe au watajiuzulishwa kama ilivyotokea kwa Job Ndugai!
NB: Vijana mnaotumika leo kupandwa migongoni. Kuweni makini sana na wanaowapanda! Haijalishi ni rais ama ni nani!
Yaani mimi ndo niteseke badala ya wewe unaepandwa mgongoni??Naona kama unateseka sana
Majukumu kuzidi yale ya Spika?Ndugai yupo kwake Na kapumzika tu ila Sisi wapinzani tunaoona kila jambo ni agenda tunavamia! Na CCM watampa Majukumu soon tunaosema tuko CCM ndani acha habari za Wabrash Viatu vijiweni
Ndio maana mnakuwa watu wa majungu majungu mitandaoni, na kuweka hisia kwenye vitu vya maana. Mtu yeyote asiyependa kusoma na kufuatilia taarifa kwenye vyanzo sahihi, huishia kuwa mtu wa majungu tu. Someni magazeti (ya maana) msishinde na kukesha mitandaoni, mtabaki kuwa wambea na wazushi!Baada ya kusoma habari(heading (katika gazeti moja kuwa mkewe kasema mumewe aachwee apumzike, nimeanza kupata hisia huenda atakuwa amepelekwa nchi moja ya Ulaya au Marekani akatulie kuondoa streets, kukwepa waandishi na pia kujiweka sawa kisakkolojia.
Sijasoma ndani lakini kwa jibu hilo kwa mwandishi wa gazeti, ni wazi Job yuko mahali salama ila probabilblly nje ya nchi kwa baraka za wakubwa na huenda alipoitwa Magogoni hii ilikuwa ni moja ya agenda (aende wapi au aishi vipi kwa kipindi hiki).
Kama alikataa kuuza utu wake, basi atakuwa tu nyumbani kwake hatoki nje ya geti na hata kusali haenda.
Kazi sana!
Mbona unaumia roho?!Ndio maana mnakuwa watu wa majungu majungu mitandaoni, na kuweka hisia kwenye vitu vya maana. Mtu yeyote asiyependa kusoma na kufuatilia taarifa kwenye vyanzo sahihi, huishia kuwa mtu wa majungu tu. Someni magazeti (ya maana) msishinde na kukesha mitandaoni, mtabaki kuwa wambea na wazushi!
jobstickBaada ya kusoma habari(heading (katika gazeti moja kuwa mkewe kasema mumewe aachwee apumzike, nimeanza kupata hisia huenda atakuwa amepelekwa nchi moja ya Ulaya au Marekani akatulie kuondoa streets, kukwepa waandishi na pia kujiweka sawa kisakkolojia.
Sijasoma ndani lakini kwa jibu hilo kwa mwandishi wa gazeti, ni wazi Job yuko mahali salama ila probabilblly nje ya nchi kwa baraka za wakubwa na huenda alipoitwa Magogoni hii ilikuwa ni moja ya agenda (aende wapi au aishi vipi kwa kipindi hiki).
Kama alikataa kuuza utu wake, basi atakuwa tu nyumbani kwake hatoki nje ya geti na hata kusali haenda.
Kazi sana!
Unataka wapaone jehanum?Hivi bavicha mnapaona Ulaya ni mbinguni?
Siumii roho, sina sababu. Nakusaidia uondokane na majungu uwe mtu wa uhakika!Mbona unaumia roho?!