Yuko wapi Job Ndugai kuisawazisha hii sintofahamu?

Kumbuka kilichompata Mwinyi miaka ile alipojaribu kumtunishia misuli mchonga meno
 
Ndugai yupo kwake Na kapumzika tu ila Sisi wapinzani tunaoona kila jambo ni agenda tunavamia! Na CCM watampa Majukumu soon tunaosema tuko CCM ndani acha habari za Wabrash Viatu vijiweni
CCM ya mdomoni au hii ccm ya wa Zanzibar?

CCM ya wasukuma yamebaki masalia kidogo sana
 
Kusema mwacheni apumzike ni kauli ya kawaida, kuwa waandishi wamuache apumzike kwa maana wasimbughudhi kwa kumfuatafuata kila mara. Sasa nashangaa wewe mleta mada tayari umeshampeleka Ulaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…